Mumeo akiku-cheat na wewe m-cheat

Mumeo akiku-cheat na wewe m-cheat

Haki bin Haki.
Ndio maana ninawaambiaga hawa mabinti wajitegemee. Ili kuondoa manyanyaso na utumwa.
kuna wanandoa wenyewe wameamua isiwe taabu kugombana, kila mmoja ana michepuko ya wazi hakuna kuoneana wivi na wanaishi pamoja. Mama kamchanganyia hybrid mume wake analea watoto si wake. Jamaa naye kazaa nje na michepuko yake waziwazi na mke anajua. Ni ndoa ya ajbu sana, wako huru kujipatia wapenzi wapya waziwazi huku wanaishi pamoja nyumba moja
 
Watoto wako wa kike ni wake wa wanaume wengine hapo baadae.

Unakaa kuharibu wake za watu sasa hiv huku wewe unakaa kulia lia na mibandiko yako mireeefu hapa jukwaan kila siku ukiwaponda wanawake mara "usimuonee huruma mwanamke" na blah blah zako nyingi.

Sasa we endelea kuharibu wake za watu (watoto wako) halaf wakija huku mtaani watakutana na vyuma vya kiume unavyovipaga madini kila siku jinsi ya ku deal na mwanamke jeuri.

Watakurudia tena wakuombe ushauri

Nimeandikia binti zangu na wapo wanawake wengi ambao wanatumia kanuni hizi.

Kwa nini unataka sisi wanaume tuu ndio tu-cheat?
 
kuna wanandoa wenyewe wameamua isiwe taabu kugombana, kila mmoja ana michepuko ya wazi hakuna kuoneana wivi na wanaishi pamoja. Mama kamchanganyia hybrid mume wake analea watoto si wake. Jamaa naye kazaa nje na michepuko yake waziwazi na mke anajua. Ni ndoa ya ajbu sana, wako huru kujipatia wapenzi wapya waziwazi huku wanaishi pamoja nyumba moja

Kwa Watibeli hiyo haipo.
Utalipwa kisha utatimuliwa (ndoa itavunjwa)
 
Mwanamke mpaka atongozwe ndo acheat asipo tongozwa atacheat na nan....wew mtibel mbona unajisaulisha hujui mwanamke hana thaman mbele Ya Me......kwanza akicheat ndo talaka iyo hata maandiko yameelekeza hivyooo......
Kwanza wapo wengi kama nyanya sokon .......
Kuna mwanamke asiyetongozwa?
 
Nimeandikia binti zangu na wapo wanawake wengi ambao wanatumia kanuni hizi.

Kwa nini unataka sisi wanaume tuu ndio tu-cheat?
Mimi sitaki mtu a cheat. Kwanza ku cheat kwasabab mwenzako ka cheat unajiumuza mwenyewe.

Nilishawah kutana na scenario hii nyumban kwangu, wife anahis nime cheat amenikomalia kishenzi.. ananiuliza "kwahiyo na mimi unataka kunifundisha ni cheat"?

Wazee wa Havannah Cuba, nikajua tu hapa hamna kitu tena!.

Nikamwambia "kwan hata na wewe ukienda ku cheat, anayetombwa ni mimi au ni wewe"?
 
Mimi sitaki mtu a cheat. Kwanza ku cheat kwasabab mwenzako ka cheat unajiumuza mwenyewe.

Nilishawah kutana na scenario hii nyumban kwangu, wife anahis nime cheat amenikomalia kishenzi.. ananiuliza "kwahiyo na mimi unataka kunifundisha ni cheat"?

Wazee wa Havannah Cuba, nikajua tu hapa hamna kitu tena!.

Nikamwambia "kwan hata na wewe ukienda ku cheat, anayetombwa ni mimi au ni wewe"?

Raha ya msaliti ni kumfanyia tukio lilelile hiyo ondio furaha yetu Watibeli.

Jino kwa jino
Jicho kwa jicho
Ukucha kwa ukucha.

Hatujiumizi tunapolipa watu tuliowaamini alafu wakatufanyia ushenzi
 
Back
Top Bottom