kuna wanandoa wenyewe wameamua isiwe taabu kugombana, kila mmoja ana michepuko ya wazi hakuna kuoneana wivi na wanaishi pamoja. Mama kamchanganyia hybrid mume wake analea watoto si wake. Jamaa naye kazaa nje na michepuko yake waziwazi na mke anajua. Ni ndoa ya ajbu sana, wako huru kujipatia wapenzi wapya waziwazi huku wanaishi pamoja nyumba mojaHaki bin Haki.
Ndio maana ninawaambiaga hawa mabinti wajitegemee. Ili kuondoa manyanyaso na utumwa.
Watoto wako wa kike ni wake wa wanaume wengine hapo baadae.
Unakaa kuharibu wake za watu sasa hiv huku wewe unakaa kulia lia na mibandiko yako mireeefu hapa jukwaan kila siku ukiwaponda wanawake mara "usimuonee huruma mwanamke" na blah blah zako nyingi.
Sasa we endelea kuharibu wake za watu (watoto wako) halaf wakija huku mtaani watakutana na vyuma vya kiume unavyovipaga madini kila siku jinsi ya ku deal na mwanamke jeuri.
Watakurudia tena wakuombe ushauri
kuna wanandoa wenyewe wameamua isiwe taabu kugombana, kila mmoja ana michepuko ya wazi hakuna kuoneana wivi na wanaishi pamoja. Mama kamchanganyia hybrid mume wake analea watoto si wake. Jamaa naye kazaa nje na michepuko yake waziwazi na mke anajua. Ni ndoa ya ajbu sana, wako huru kujipatia wapenzi wapya waziwazi huku wanaishi pamoja nyumba moja
Ukiandika pumba nitakuponda tu mtibeliπMtibeli mpaka umuelewe lazima uwe Mtibeli. Vinginevyo leo utasema hivi kesho utasema vile.
Akiandika kinachonivutia utamsifia. Akiandika kinachokuumiza utamponda.
Wakati Watibeli huangalia jambo katika uhalisia wake(ukweli), Haki, upendo na Maarifa.
Kwa nini upumbavu wa mtu mwingine unifanye na mimi niwe mpumbavu?
Kuna mwanamke asiyetongozwa?Mwanamke mpaka atongozwe ndo acheat asipo tongozwa atacheat na nan....wew mtibel mbona unajisaulisha hujui mwanamke hana thaman mbele Ya Me......kwanza akicheat ndo talaka iyo hata maandiko yameelekeza hivyooo......
Kwanza wapo wengi kama nyanya sokon .......
Ukiandika pumba nitakuponda tu mtibeliπ
Mimi sitaki mtu a cheat. Kwanza ku cheat kwasabab mwenzako ka cheat unajiumuza mwenyewe.Nimeandikia binti zangu na wapo wanawake wengi ambao wanatumia kanuni hizi.
Kwa nini unataka sisi wanaume tuu ndio tu-cheat?
Ukiona mwqnaume anachukulia wwnawske wwtu sawq nq yy jua ndo safari ya kuwa shoga
Nilijua tu Demi akiiona hii lazima atasupportLeo ndo umeandika mada bora kuliko zote.
Sie wanaume wengingine tukiona jamaa anamchiti mke wake hata kwa siri tu nasi tunamshukia mke wake ili tu tumkomeshe huyo jamaa aache kumchiti mke wake.πππ
samia mtoto wa mzee hasani ametongozwa na nan lete ushaid hapa uende jelaKuna mwanamke asiyetongozwa?
Mimi sitaki mtu a cheat. Kwanza ku cheat kwasabab mwenzako ka cheat unajiumuza mwenyewe.
Nilishawah kutana na scenario hii nyumban kwangu, wife anahis nime cheat amenikomalia kishenzi.. ananiuliza "kwahiyo na mimi unataka kunifundisha ni cheat"?
Wazee wa Havannah Cuba, nikajua tu hapa hamna kitu tena!.
Nikamwambia "kwan hata na wewe ukienda ku cheat, anayetombwa ni mimi au ni wewe"?
Hakika raha ya ndoa mjuane vizuri na mwendane mtainjoiNaona tumeanza kujuana vizuri. Ile ndoa yangu mimi na wewe inakaribia