Mumeo alikufa kwa Ngoma mwaka 1993, leo mwaka 2023 Wewe Mkewe unataka Kukikwepa Kifo cha Maambukizo hayo?

Mumeo alikufa kwa Ngoma mwaka 1993, leo mwaka 2023 Wewe Mkewe unataka Kukikwepa Kifo cha Maambukizo hayo?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kituo A cha Kuchukua Dozi kilikuwa ni Dar es Salaam Tanzania ila huenda Mgonjwa akaenda Kujifia zake Wiki ijayo Jijini Algiers nchini Algeria Kituo B cha Kuchukulia Dawa mbele ya Madaktari mahiri wa Kiarabu kutokana na hali kuwa mbaya zaidi.
 
Kituo A cha Kuchukua Dozi kilikuwa ni Dar es Salaam Tanzania ila huenda Mgonjwa akaenda Kujifia zake Wiki ijayo Jijini Algiers nchini Algeria Kituo B cha Kuchukulia Dawa mbele ya Madaktari mahiri wa Kiarabu kutokana na hali kuwa mbaya zaidi.
Umbumbumbu ni kipaji, na Wapumbavu wenzako umewapata wamekupa likes kabisa, haya kanywe method Ines urudi Mirembe kwa afya yako kiakili sasa [emoji38][emoji124]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Kituo A cha Kuchukua Dozi kilikuwa ni Dar es Salaam Tanzania ila huenda Mgonjwa akaenda Kujifia zake Wiki ijayo Jijini Algiers nchini Algeria Kituo B cha Kuchukulia Dawa mbele ya Madaktari mahiri wa Kiarabu kutokana na hali kuwa mbaya zaidi.
Mental health is a serious issue
 
sema baba
Ona hii mbuziii
315b0bf68c53463b8f59e19cb840133c.jpg
 
Kila siku ilikuwa kelele Oooh "Bolizozo, Bolizozo!", mara ghafla mambo yamegeuka "IBRAHIM BENZAZA, IBRAHIM BENZAZA!".

Ni aibu sana unasawazisha goli, unashangilia hadi koo linapasuka, kisha dogo mmoja katili anakunyamazisha kwa goli la 2 ndani ya dakika hiyo hiyo. Kama siyo dharau ni nini hii?

Halafu MwanaFA alivyo mnafiki anamwonyesha saa ya mkononi Gharib kuwa muda bado upo mtasawazisha tena na kufunga la 3 kama Mganga wa kienyeji alivyosema, halafu kimoyo moyo anaomba game iishe muda huo huo. BENZAZA AAAA!!!⚽⚽ 😆😂🤸
 
Hivi wewe ulipewaje tuzo ja JF Sport, maana sionagi cha maana kinachohusu michezo unaandika.Umejawa na ujinga mwingi
 
Ukiona Great Thinker GENTAMYCINE niko Followed na 155 Great Thinkers hapa JamiiForums jua Mimi si Mpumbavu na Mshamba kama ulivyo sawa?

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
Hivi hapa kuna ''great thinkers'' wangapi? JF ilikuwa zamani siyo sasa imevamiwa na watu kama wewe na wafuasi wao walohitimu hizi elimu za kukariri za kibongo na wanaongozwa na ulimbukeni. Back to the topic: Hili litimu acha ifungwe tu kwa sababu imeingiza siasa kwenye michezo. Mibango ya rais uwanjani inafanya nini?
 
Back
Top Bottom