Mumeo alikufa kwa Ngoma mwaka 1993, leo mwaka 2023 Wewe Mkewe unataka Kukikwepa Kifo cha Maambukizo hayo?

Mumeo alikufa kwa Ngoma mwaka 1993, leo mwaka 2023 Wewe Mkewe unataka Kukikwepa Kifo cha Maambukizo hayo?

Kituo A cha Kuchukua Dozi kilikuwa ni Dar es Salaam Tanzania ila huenda Mgonjwa akaenda Kujifia zake Wiki ijayo Jijini Algiers nchini Algeria Kituo B cha Kuchukulia Dawa mbele ya Madaktari mahiri wa Kiarabu kutokana na hali kuwa mbaya zaidi.
Alisema yeye mzima hana maambukizi ila ana dalili zote za maambukizi labda waendelee kumuombea
 
Tatizo....
FxPEM4VXsAIYz6S.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kila siku ilikuwa kelele Oooh "Bolizozo, Bolizozo!", mara ghafla mambo yamegeuka "IBRAHIM BENZAZA, IBRAHIM BENZAZA!".

Ni aibu sana unasawazisha goli, unashangilia hadi koo linapasuka, kisha dogo mmoja katili anakunyamazisha kwa goli la 2 ndani ya dakika hiyo hiyo. Kama siyo dharau ni nini hii?

Halafu MwanaFA alivyo mnafiki anamwonyesha saa ya mkononi Gharib kuwa muda bado upo mtasawazisha tena na kufunga la 3 kama Mganga wa kienyeji alivyosema, halafu kimoyo moyo anaomba game iishe muda huo huo. BENZAZA AAAA!!![emoji460][emoji460] [emoji38][emoji23][emoji1732]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kituo A cha Kuchukua Dozi kilikuwa ni Dar es Salaam Tanzania ila huenda Mgonjwa akaenda Kujifia zake Wiki ijayo Jijini Algiers nchini Algeria Kituo B cha Kuchukulia Dawa mbele ya Madaktari mahiri wa Kiarabu kutokana na hali kuwa mbaya zaidi.
.
Screenshot_20230212-212320.jpg
 
Kituo A cha Kuchukua Dozi kilikuwa ni Dar es Salaam Tanzania ila huenda Mgonjwa akaenda Kujifia zake Wiki ijayo Jijini Algiers nchini Algeria Kituo B cha Kuchukulia Dawa mbele ya Madaktari mahiri wa Kiarabu kutokana na hali kuwa mbaya zaidi.
 
Kituo A cha Kuchukua Dozi kilikuwa ni Dar es Salaam Tanzania ila huenda Mgonjwa akaenda Kujifia zake Wiki ijayo Jijini Algiers nchini Algeria Kituo B cha Kuchukulia Dawa mbele ya Madaktari mahiri wa Kiarabu kutokana na hali kuwa mbaya zaidi.
sawa mke wetu ulikufa ila sisi hatuwezi kufa nchi inatutegemea ndo maana mama mkwe wako katupa zile milioni 20 japo alisema angezitoa km tutaleta ubingwa...WEWE NA ANDAZI NI BORA ANDAZI TU KAA HAPO MUMEO BADO ANA KAZI YA KUFANYA 3th May
 
Kituo A cha Kuchukua Dozi kilikuwa ni Dar es Salaam Tanzania ila huenda Mgonjwa akaenda Kujifia zake Wiki ijayo Jijini Algiers nchini Algeria Kituo B cha Kuchukulia Dawa mbele ya Madaktari mahiri wa Kiarabu kutokana na hali kuwa mbaya zaidi.
Ngoja mujiza umkute mgonjwa wako aponee huko Algeria!
 
Kituo A cha Kuchukua Dozi kilikuwa ni Dar es Salaam Tanzania ila huenda Mgonjwa akaenda Kujifia zake Wiki ijayo Jijini Algiers nchini Algeria Kituo B cha Kuchukulia Dawa mbele ya Madaktari mahiri wa Kiarabu kutokana na hali kuwa mbaya zaidi.
NADHANI MKE NDO ALIKUFA MWAKA 1993
 
Back
Top Bottom