Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Knakutana na haya mambo yanajirudia kwenye ndoa hasa wakati wa tendo la ndoa
Mwenzio anakujibu
Uinigusee
Nimechoka
Sijisikii
Niamshe baada ya masaa mawili
Nanmengineyo kama una la kuongeza tujuzane
Kama unakutana haya ndugu jiongeze mapema kabisa kwa usalama wako
Hapo ndoa Ishanzaa kutetema kama mayele
Mambo ya kuzingatiaa kama yanajirudia mweleze ukweli nimechokaa ukiona yanaendeleaa kama una vyumba viwili hamia cha pili
Pilipili inawasha lakini haiwezi washa TV
Ukiona kimya mnapishana ndani ndugu langa plan B
Kama vile gfriend ambae atakuwa akikutukizanna kuondoa miwasho ulionayo
Kwa haya yakifika miezi miwili maanayake hata chakula hapo ndan sio kizuri kukiamini
Tafuta kajiko kadogo nunua vyakula pika
Kama una uwezoo we nunua vyakula nje hata miezi kadhaa kulinda uhai wako na afya yako
Watchout
Inaendeleeaaa...
Mwenzio anakujibu
Uinigusee
Nimechoka
Sijisikii
Niamshe baada ya masaa mawili
Nanmengineyo kama una la kuongeza tujuzane
Kama unakutana haya ndugu jiongeze mapema kabisa kwa usalama wako
Hapo ndoa Ishanzaa kutetema kama mayele
Mambo ya kuzingatiaa kama yanajirudia mweleze ukweli nimechokaa ukiona yanaendeleaa kama una vyumba viwili hamia cha pili
Pilipili inawasha lakini haiwezi washa TV
Ukiona kimya mnapishana ndani ndugu langa plan B
Kama vile gfriend ambae atakuwa akikutukizanna kuondoa miwasho ulionayo
Kwa haya yakifika miezi miwili maanayake hata chakula hapo ndan sio kizuri kukiamini
Tafuta kajiko kadogo nunua vyakula pika
Kama una uwezoo we nunua vyakula nje hata miezi kadhaa kulinda uhai wako na afya yako
Watchout
Inaendeleeaaa...