Mumewe hawezi kusimamisha tena

Mumewe hawezi kusimamisha tena

Iko hivi;Kuna rafiki yangu anasema mumewe hawezi kusimamisha Tena mjegeje baada ya mshipa mmojawapo wa mjegeje kuvunjika.

Huyu mumewe alienda kwa mchepuko wake,Sasa wakati wa kunyanduana ndo mchepuko akaikalia.

Sasa alivyoikalia ndo mshipa wa mjegeje ukavunjika.
Mumewe hakusema alivyorudi home.Sasa si Unajua Tena mambo ya nyegeziiiii.

Sasa kila akiombwa tendo,mjegeje hausimami.
Weeee rafiki yangu kasema usinitanie mume wangu,Hali hii imeanza lini???

Akamwambia nieleze ukweli la sivyoo naondoka.

Ndo huyu bwana akajieleza kuwa nilikuwa kwa mchepuko hukoooo,wakati wa kunyanduana akaikalia,ndo akavunja mshipa wa mjegeje. Wanaenda hospitali,matibabu NI milioni 6.

Upo?

Rafiki yangu anaomba ushauri je aondokeee maana hiyo milioni 6 ya matibabu hawana.

Na bibie anasema hakwenda pale kula na kulala,yeye kafata mjegeje.

Sasa mjegeje umevunjika mshipa hukoooooo kwa mchepuko.

Tuchukue tahadhari maana utasikia ikalieeee.mwenzenu huyooooo,mjegeje haufanyi kazi,mshipa umevunjika matibabu ni 6 milioni.

Weekend njeeeema.Take care with your Mjegeje.na kubali TU vingine vikupiteeeee
Mshipa hauwezi kuvunjika kwani ni kama kamba. Mjegeje unaposimama siyo kwamba kuna mishipa kwa ndani kama spoku za baiskeli. Ni misuli tu na mishipa inajaza damu.
 
Huyo ni mumeo wala sio mume wa rafiki yako,na kwa uandishi huu inaonekana wote mlikutana pipa na mfuniko.
 
Iko hivi;Kuna rafiki yangu anasema mumewe hawezi kusimamisha Tena mjegeje baada ya mshipa mmojawapo wa mjegeje kuvunjika.

Huyu mumewe alienda kwa mchepuko wake,Sasa wakati wa kunyanduana ndo mchepuko akaikalia.

Sasa alivyoikalia ndo mshipa wa mjegeje ukavunjika.
Mumewe hakusema alivyorudi home.Sasa si Unajua Tena mambo ya nyegeziiiii.

Sasa kila akiombwa tendo,mjegeje hausimami.
Weeee rafiki yangu kasema usinitanie mume wangu,Hali hii imeanza lini???

Akamwambia nieleze ukweli la sivyoo naondoka.

Ndo huyu bwana akajieleza kuwa nilikuwa kwa mchepuko hukoooo,wakati wa kunyanduana akaikalia,ndo akavunja mshipa wa mjegeje. Wanaenda hospitali,matibabu NI milioni 6.

Upo?

Rafiki yangu anaomba ushauri je aondokeee maana hiyo milioni 6 ya matibabu hawana.

Na bibie anasema hakwenda pale kula na kulala,yeye kafata mjegeje.

Sasa mjegeje umevunjika mshipa hukoooooo kwa mchepuko.

Tuchukue tahadhari maana utasikia ikalieeee.mwenzenu huyooooo,mjegeje haufanyi kazi,mshipa umevunjika matibabu ni 6 milioni.

Weekend njeeeema.Take care with your Mjegeje.na kubali TU vingine vikupiteeeee
Umesahau kuacha namba za simu za rafiki yako na za kwako
 
Mshipa hauwezi kuvunjika kwani ni kama kamba. Mjegeje unaposimama siyo kwamba kuna mishipa kwa ndani kama spoku za baiskeli. Ni misuli tu na mishipa inajaza damu.
Kaulize daktari ndo utaijua kitu HAINA mfupa lkn inavunjika
 
Iko hivi;Kuna rafiki yangu anasema mumewe hawezi kusimamisha Tena mjegeje baada ya mshipa mmojawapo wa mjegeje kuvunjika.

Huyu mumewe alienda kwa mchepuko wake,Sasa wakati wa kunyanduana ndo mchepuko akaikalia.

Sasa alivyoikalia ndo mshipa wa mjegeje ukavunjika.
Mumewe hakusema alivyorudi home.Sasa si Unajua Tena mambo ya nyegeziiiii.

Sasa kila akiombwa tendo,mjegeje hausimami.
Weeee rafiki yangu kasema usinitanie mume wangu,Hali hii imeanza lini???

Akamwambia nieleze ukweli la sivyoo naondoka.

Ndo huyu bwana akajieleza kuwa nilikuwa kwa mchepuko hukoooo,wakati wa kunyanduana akaikalia,ndo akavunja mshipa wa mjegeje. Wanaenda hospitali,matibabu NI milioni 6.

Upo?

Rafiki yangu anaomba ushauri je aondokeee maana hiyo milioni 6 ya matibabu hawana.

Na bibie anasema hakwenda pale kula na kulala,yeye kafata mjegeje.

Sasa mjegeje umevunjika mshipa hukoooooo kwa mchepuko.

Tuchukue tahadhari maana utasikia ikalieeee.mwenzenu huyooooo,mjegeje haufanyi kazi,mshipa umevunjika matibabu ni 6 milioni.

Weekend njeeeema.Take care with your Mjegeje.na kubali TU vingine vikupiteeeee
Kimeumana😂😂😂😂
 
kupona kwake mpaka afanyiwe upasuaji,ila ina shauliwa uume unapovunjia aweke barafu afu huduma nyingine zita fuata sababu nyingine inayopelekea uume kuvunjika ni kupiga nyeto wakati utamu umezidi unaibinya kama wanawake wanavyoifinyia kwa ndani unaweza sababisha mjegeje kuvunjika,dalili za kuvunjika uume 1 maumivu makali ya uume,maumivu makali wakati wa kukojoa,uume kushindwa kusimama kabisa.jaman tuepuke ngona hatarish kama stail ya kulukia na kujipimia afu ile ya wanawake kuifinyia kwa ndani sio salama kwa mjegeje
Asante sana.wasipokuelewa hapa Basi tena
 
Hahaha hii chai bana 😂😂😂
From medical perspective,
Kuvunjika mjegeje ni medical emergency, na sio tu emergency ni ina ambatana na maumivu makali sana, huyo kijana wako angeuza hata figo ili atibiwe 🤣🤣

Kitu namba mbili, matibabu ya kuvunjika mjegeje Muhimbili hayafiki hata 1.5M, huyo million 6 aliambiwa wapi?

Acheni kutufanganya kizembe
 
Back
Top Bottom