kapiga hela za ramba ramba sasa kaanza drama kucheza na saikolojia zetu hadi tutasahau. yaani upande ndege na kurudi bila ulichofata na watu umewakalisha msibani tena miwili....mmmh watu wana roho kwenye hela kwakweli. huenda mtoto yupo chobingo anacheki FIFA cup.....Muna hana tofauti na Stara