Muna ametua Airport bila maiti ya mwanaye

Hivi huyu mtoto ni nani?wangaoi wameooteza watoto?acheni kukuza mambo kafa kafa basi
 
Duuh sio fresh. Dogo kafa kweli. Mizaha ya marehemu kucheki FIFA Cup haijakaa vizuri hii.
 
Huo ni ujumbe mjarab kwa wazazi wote.

Nami nimeligundua; namna walivyomvika mavazi, namna walivyomnyoa nywele, namna walivyomvisha vidani....yaani walikuwa wanamuandaa awe raia wa ajabu.

Vv
Ata mimi niliona kitu kama icho nikadhania labda mimi ni mshamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…