Muna ametua Airport bila maiti ya mwanaye

Mkuu kafara apate pesa?atakua na akili za lemutuz unaweza kukuta ndio mbegu yko ya mwisho ya uzazi usipate watoto tena
Kwani ana shida ya mtoto? Angekuwa na shida ya mtoto asingemrusha umri kutoka kucheza kombolela na watoto wenzake mpaka kuwa kama Pdiddy.

Kwanza mimi picha zilianza kusambaa nduo nimemjuwa nikadhani ni mtu mzima kama Demonte au wale Wanigeria Aki na Ukwa ila ana umbo la kitoto, kumbe ni mtoto kweli tena wa miaka 7 halafu unaambiwa ana followers laki mbili uko Instagram.

Kama mlikuwa mnadhani Shetani ni dubwasha fulani la kutisha mnajidanganya, muangaliebi tu Muna huyo ni shetani halisi 100%.
 
Wakovu najua hamna yule ni mdangaji kma kawaida,hao marioo wake hawana kitu zaidi ya kuuza sura nae tu
 
Hizi Kiki Nomaa
 
bebe na ww unafuatiliaga udaku kumbe[emoji23] [emoji23]
Bebe huu udaku hata nmeshindwa
Kuukosa maana spo hata ista lkn
Huko kwenye blogs ndo umejaa
 
Bebe huu udaku hata nmeshindwa
Kuukosa maana spo hata ista lkn
Huko kwenye blogs ndo umejaa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kila kona

waandishi wamepata habari za wiki
 
seriously atakua mwendawazimu amtoe mtoyo huyo huyo mmoja kisa pesa....jaman tusimuwazie mtu ubaya ukweli anaujua ye mwenyew
Hajasemwa vibaya ni ukweli mtupu huo unajifanya umeokoka hpohpo mtoto anababa 12,unachukua ada,pesa ya matibabu,nauli ya kumpeleka nairobi mtoto halafu leo unasema mtoto si wangu,mimi ningefungua kesi ya madai unipe pesa yangu yote.
Mtoto hata umzike sudan sina muda wa kujua umemzika wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…