[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] mjini kuna visaYani hii story ntamsimulia hadi bibi yangu alieko vwawa aijue,,,mana naona maajabu,,,
Huyo mangi itakua nae anashida zke mtu anasema mtoto sio wko,bdo unalumbana nae mwachie msiba wke apambane nao ...huyo mwanamke huo msiba anasiri nao
mangi na yeye anataka kumkomoa Muna.
Wewe mtoto wako mmoja ungeweza kumrusha umri?seriously atakua mwendawazimu amtoe mtoto huyo huyo mmoja kisa pesa....jaman tusimuwazie mtu ubaya ukweli anaujua ye mwenyew
Hyo ya wahuni ndo nimeipenda sana hyoDawa ziko mbili kufungua kesi ili mwenye haki apate,au kusubiria wkt misa inaendelea kwa hao walokole avamie n wahuni watembeze kibano na kuchukua maiti ndio dawa nzuri
Mangi nae boya anatakiwa kudai pesa zke kuanzia ada,matibabu,malezi mahakamani ili kumpa fundisho huyo mbilikimo[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]anavimba mangi hataki kuonekana mwanaume wa Dar
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Akipata pesa amuombe mganga umuongezee urefu
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Huyu mama atakuwa CCM tu
Sio kwa gubu hili
Mababa wawili mmoja mwanaume mwingne marioo suguIla fikra sahihi ni mtoto kuwa na baba wawili?
Babe mambo/!!!Aisee.......
teeeh huo ni utandawazi ndo unawaharibu ....... sikuhz ata watoto wanafunguliwa account na kupigishwa mapicha kuvalishwa vitu vya ajabu ajabuWewe mtoto wako mmoja ungeweza kumrusha umri?
Maana mimi nilivyoanza kuziona picha nikajuwa ni Demonte type au Aki na Ukwa wa Nigeria kumbe ni katoto kweli
Mungu amshushie laana na amchapa malaya huyu kwa dhulumu haki za mtoto na kusababisha kifo cha mapema cha mtoto.
Sina hata chembe ya huruma kwa malaya huyu.
Hata wasimjua kafunika kick zotee mjini hapa!Mpaka Sasa naona muna ameshapata
Kick ya kutosha
Kibano cha kibaka yani unavunja meno mchungaji wa watu wke ili iwe fundishoHyo ya wahuni ndo nimeipenda sana hyo
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Unatembeza kisago mpk wanapata tabu sanaaaaa
Watapata tabu sanaa
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]we ungekomaa na fidia tu baaaasi!muache azike kokote na huo ndo uanaume!Hajasemwa vibaya ni ukweli mtupu huo unajifanya umeokoka hpohpo mtoto anababa 12,unachukua ada,pesa ya matibabu,nauli ya kumpeleka nairobi mtoto halafu leo unasema mtoto si wangu,mimi ningefungua kesi ya madai unipe pesa yangu yote.
Mtoto hata umzike sudan sina muda wa kujua umemzika wapi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kina zar hawaonekani tena wiki hiiHata wasimjua kafunika kick zotee mjini hapa!
Wapenda kick wanamlaani kweli maana hawaonekani tena
Dawa muachie mtoto amzike wewe fungua kesi ya madai mpka huyo malaya auze uchi uote sugu pia itakua fundisho kwa wengineKwa gharama alizoingia ana haki ya kupambana.
Hebu kama kuna mtu anasoma ampe huu ushauri hapaaMangi nae boya anatakiwa kudai pesa zke kuanzia ada,matibabu,malezi mahakamani ili kumpa fundisho huyo mbilikimo
Ha ha ha kweli aisee mama t kajitahidi kusnap Jo'burg mara Durban wapi. Si tuko zetu airport tunampokea munaHata wasimjua kafunika kick zotee mjini hapa!
Wapenda kick wanamlaani kweli maana hawaonekani tena
Ndo maana majizo hataki mtoto wake awekwe mtandaonteeeh huo ni utandawazi ndo unawaharibu ....... sikuhz ata watoto wanafunguliwa account na kupigishwa mapicha kuvalishwa vitu vya ajabu ajabu
malezi changamoto kisa u star....wanaume wanaozaa na hao nao wana moyo kweli