Muna Love: Wakati naolewa na Peter nilikuwa na mimba ya Casto ya miezi miwili

Muna Love: Wakati naolewa na Peter nilikuwa na mimba ya Casto ya miezi miwili

safi Muna na hongera kwa kuutua mzigo Patric atakuwa na amani huko aliko
Unampongeza kwa lipi?unajua ninini maana ya mwanamke kuolewa kwa ndoa?

Akiwa anajua kwamba ana mimba aliyoipata ktk uzinzi iwaje akaolewe tena kanisani akiwa bado na dhambi ya uongo nafsini mwake?sina shaka wanawake dizain hii ni wale mnaenda kufunga ndoa kesho usiku huu unaenda kugongwa ngozi na sijui mnaita X sijui takataka gani!
 
Muigiza Maarufu Bongo, Muna Love, amezungumza na waandishi wa habari leo nyumbani kwake maeneo ya Mbezi jijini Dar es Salaam na kuweka wazi jinsi ambavyo alikutana na Peter Zakaria Komu, mwanaume ambaye hivi karibuni ilisemekana kuwa ndiye baba wa mtoto wake Marehemu Patrick.

“Nilikutana na Peter jijini Mbeya tukiwa tunafanya kazi Safari Pool Table, tulikaa kwenye mahusiano kwa miezi miwili tukaingia kwenye ndoa, lakini kuna vitu nilivyokutana navyo kwenye ndoa hiyo nikaamua kuachika.

“Wakati naingia kwenye mahusiano na Peter nilikuwa nina mimba ya Casto ya miezi miwili, Casto aliikana mimba hiyo. Baadaye alirudi wakati mtoto Patrick akiwa na miaka mitatu. Kwa sababu nilizaa nikiwa kwenye ndoa na Peter ndiye alisimamia hata ubatizo ndizo picha zilizosabaa, lakini hata yeye Peter anaujua ukweli kuhusu mtoto huyo.

“Tulifanya taratubu na Casto za kubadilisha jina la mtoto pale RITA lakini kuna ugumu uliotokea, lakini tulikuwa tunaendelea kufuatilia,” amesema Muna.

Anaandaa filamu huyu, mwisho wa siku atatoa album
 
Kila msiba una sababu, Mungu ni mwema sana mpaka kaamua kumsitiri huyu mtoto kabla hata umri wake haujafika mbali.
Hebu chukulia huyu ni mama yako mzazi umefikia umri mkubwa unamsikia anafanya mambo kama haya huoni utatamani dunia itoboke uzame kabisa?
Kwanini uliolewa ukijua una ujauzito wa mtu mwingine , wangapi wameolewa baada ya kuzaa na heshima zao zimebaki na kama uliamua kufanya hivyo kwanini leo hii uliseme?
 
Anatafuta kiki msije mkamsahau!
Hili limama ni tahira pase walahi

Hiyo ni kiki au kwikwi. Watu walinyamaza na kujizuia kushutumu wakimhurumia na kuweka ubinadam mbele. Sasa kwa hizi sarakasi atakipata anachokitafuta.
 
Hiyo ni kiki au kwikwi. Watu walinyamaza na kujizuia kushutumu wakimhurumia na kuweka ubinadam mbele. Sasa kwa hizi sarakasi atakipata anachokitafuta.
Na iwe hivyo walahi
Duh!
 
Back
Top Bottom