Ngwasa Omuyaya
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 2,629
- 2,733
Nanukuu; walikutana na Peter huko mbeya ,wakakaa kwenye mahusiano, ndani ya miezi miwili wakaamua kufunga ndoa..
Huko kwenye ndoa alikutana na vitu akaamua kuachika..
Ushauri, katika maisha usikosee kuoa au kuolewa.
Huko kwenye ndoa alikutana na vitu akaamua kuachika..
Ushauri, katika maisha usikosee kuoa au kuolewa.