Hao waandishi wa habari walikosa kazi ya kufanya i think
Kuishi na mwanamke yataka moyo
Unampongeza kwa lipi?unajua ninini maana ya mwanamke kuolewa kwa ndoa?safi Muna na hongera kwa kuutua mzigo Patric atakuwa na amani huko aliko
Hahaha subiri nimalizane nae nitaleta mrejesho kilichojiri,maana wengine wameisha niandikia RIP ila nipo,siku naondoka nitakuja na mrejeshoMkuu hujaleta feedback kwenye ule uzi wako
Muigiza Maarufu Bongo, Muna Love, amezungumza na waandishi wa habari leo nyumbani kwake maeneo ya Mbezi jijini Dar es Salaam na kuweka wazi jinsi ambavyo alikutana na Peter Zakaria Komu, mwanaume ambaye hivi karibuni ilisemekana kuwa ndiye baba wa mtoto wake Marehemu Patrick.
“Nilikutana na Peter jijini Mbeya tukiwa tunafanya kazi Safari Pool Table, tulikaa kwenye mahusiano kwa miezi miwili tukaingia kwenye ndoa, lakini kuna vitu nilivyokutana navyo kwenye ndoa hiyo nikaamua kuachika.
“Wakati naingia kwenye mahusiano na Peter nilikuwa nina mimba ya Casto ya miezi miwili, Casto aliikana mimba hiyo. Baadaye alirudi wakati mtoto Patrick akiwa na miaka mitatu. Kwa sababu nilizaa nikiwa kwenye ndoa na Peter ndiye alisimamia hata ubatizo ndizo picha zilizosabaa, lakini hata yeye Peter anaujua ukweli kuhusu mtoto huyo.
“Tulifanya taratubu na Casto za kubadilisha jina la mtoto pale RITA lakini kuna ugumu uliotokea, lakini tulikuwa tunaendelea kufuatilia,” amesema Muna.
Waandishi wa habari wa Bongo wengi darasa la saba brazaHao waandishi wa habari walikosa kazi ya kufanya i think
Anatafuta kiki msije mkamsahau!Wamwache mtoto wa watu apumzike zake, ameshatangulia mbele ya haki.
Kwa sasa waendelee na mambo mengine.
Kunyamaza ingekua uamuzi bora kuliko kitu kingine.
Anatafuta kiki msije mkamsahau!
Hili limama ni tahira pase walahi
Na iwe hivyo walahiHiyo ni kiki au kwikwi. Watu walinyamaza na kujizuia kushutumu wakimhurumia na kuweka ubinadam mbele. Sasa kwa hizi sarakasi atakipata anachokitafuta.
Na iwe hivyo walahi
Duh!
duh kweli huyu ni malaya kabisaUkioa malaya jiandae kung'anywa au kubambikiwa mtoto.