Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni pisi Kali jimama la haja mitatoo Kama yote ,mlokole kindakindakiJamani hata kapicha hakuna kwa mimi ninaeishi Igwachanya sijawahi kumuona wala kumsikia picha yake tafadhali
...Igwachanya... Kamwene?Jamani hata kapicha hakuna kwa mimi ninaeishi Igwachanya sijawahi kumuona wala kumsikia picha yake tafadhali
Hakyamama hii forum [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni pisi Kali jimama la haja mitatoo Kama yote ,mlokole kindakindaki
Ushamwona mlokole mwenye tattoo Kama Travis scott
Wee binamu nae khaaah, sasa huyo muna nae anajiweza nn? Madeni kila kona mjini aaah.Lakini anajiweza anaish poa
SALUTI ata wewe unaweza kupiwa...sio kitu kinachompa mtu hadhi kubwa ile ni salamu...na salamu huwa na mila zakeKuwa DC ni prestige
Huoni anavyopigiwa salute.
Huoni kwenye msiba wa babake viongozi walivyopishana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji123]Hakyamama hii forum [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mitattoo kama naniiiii[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji123]
katiba ya marekani inasema ili mtu aweze kuwa rais wa nchi hiyo ni lazima mtu huyo awe na kipato halali (kinachothibitika) cha angalau us dola milioni 2@kwa mwaka.obama ni bilionea???
Lili Wayne au wiz khalifa[emoji1]Mitattoo kama naniiiii[emoji23]
Labda ghorofa la udongoSi anaishi ghorofani[emoji848]
Kamwene, makasi?...Igwachanya... Kamwene?
Ongo, noge yuvheKamwene, makasi?
Walipishana kwa ajili ya title ya baba yake
SALUTI ata wewe unaweza kupiwa...sio kitu kinachompa mtu hadhi kubwa ile ni salamu...na salamu huwa na mila zake