Mungiki watinga mjini! Makabiliano makali yaibuka..

Mungiki watinga mjini! Makabiliano makali yaibuka..

Mambo yakiwazidi karibuni Tanzania kisiwa cha amani, hapo ndiyo mtajua umuhimu wa Nyerere
I appreciate what nyerere did in TZ but shida sio waKenya shida ni wanabiashara kuingia uongozini wanataka kukaa uongozini iliwapee familia zao kila tender alafu wanarushia mabaki kabila zao!!

Hawa waliomo sai hata hawana uoga wakuficha kuwa wanafanya haya!!
 
I appreciate what nyerere did in TZ but shida sio waKenya shida ni wanabiashara kuingia uongozini wanataka kukaa uongozini iliwapee familia zao kila tender alafu wanarushia mabaki kabila zao!!

Hawa waliomo sai hata hawana uoga wakuficha kuwa wanafanya haya!!
Yote hayo ni kwasababu ya sera mbaya za mfumo wa Kibepari mlioamua kuufuata mara tu baada ya independence, Kwenye mfumo wa kibepari, utajiri na uongozi wa nchi vinahusiana sana, ama utajiri utakupa uongozi, au matajiri wataweka viongozi wanaowataka kuongoza nchi ili walinde maslahi yao, nilishangaa kusikia yule mfanya biashara juzi anasema serikali ya Jubilee iliundwa nyumbani kwake, unategemea nini?, wakati huku Magufuli anasema kama kuna mfanya biashara yoyote aliyesaidi hata pesa moja katika kampeni zangu ajitokeze, hakuna mtu hata mmoja aliyemchangia pesa Magufuli katika kampeni, Kenya kama huna pesa, au huna sponsors huwezi pata uongozi
 
Mungiki doing rituals and drinking blood and Police are protecting them, and they kill protestors protesting them.

Wakenya mnisaidie hapa, niliwasikia hawa jamaa kwenye documentary za ross Kemp hawa mungiki wameua sana ile vurugu iliyopita, na walikuwa wanamweleza kabisa Kemp, why are they not eliminated yet, who are these mungiki who's financing them.
Hiyo nchi yenu hiyo, hatari sana.

Ni genge la wauaji wa Kikuyu. Wakati wa vurugu za baada ya uchaguzi 2007 Uhuru Kenyatta ndio alikuwa mfadhili wao mkuu. Kundi hili la kigaidi lilishiriki kuwatahiri Wajaluo kwa lazima na kupambana na Wakalenjini.

Kesi ya Uhuru ICC ilikuwa kwenye msingi wa yeye kuwadhamini Mungiki.
 
Dah hawa jamaa hatari sana kwa kila mkenya, siasa kando. Wakiliamsha hawajuagi kurudi nyuma. This is getting out of hand now.
 
Safari hii tuwahurumie viongozi wa Kenya mahakama ya kimataifa itawashughulikia.
Lakini kwanini UN isiingilie kati kabla watu hawajauana.
Badala ya kusubiri wauane iwashitaki
 
Ni genge la wauaji wa Kikuyu. Wakati wa vurugu za baada ya uchaguzi 2007 Uhuru Kenyatta ndio alikuwa mfadhili wao mkuu. Kundi hili la kigaidi lilishiriki kuwatahiri Wajaluo kwa lazima na kupambana na Wakalenjini.

Kesi ya Uhuru ICC ilikuwa kwenye msingi wa yeye kuwadhamini Mungiki.
Alafu akauwa all witnesses wa the same mungiki ku kazia any witness testimony in ICC
 
Nyie endeleeni tu kuutumia tu uhuru wenu wa kikatiba
 
Ni genge la wauaji wa Kikuyu. Wakati wa vurugu za baada ya uchaguzi 2007 Uhuru Kenyatta ndio alikuwa mfadhili wao mkuu. Kundi hili la kigaidi lilishiriki kuwatahiri Wajaluo kwa lazima na kupambana na Wakalenjini.

Kesi ya Uhuru ICC ilikuwa kwenye msingi wa yeye kuwadhamini Mungiki.

Waliwatahili kwa lazma.. Middle economy kuna vituko aisee
 
Hahahaha... sasa watu wakiwachinja mbuzi, kunywa damu na kula nyama huku wakifanya maombi bila kumsumbua mtu yeyote ni kupanga vita?

Ni Nani aliyechokozwa kwa kutupiwa mawe?
 
Alafu akauwa all witnesses wa the same mungiki ku kazia any witness testimony in ICC
Be civil Man and be truthful, desist from spreading rumors and innuendos in pursuit of your ill agenda of portraying a certain community as evil just become they don't agree with your line of thought.
 
Be civil Man and be truthful, desist from spreading rumors and innuendos in pursuit of your ill agenda of portraying a certain community as evil just become they don't agree with your line of thought.
What Sammuel99 is talking is true, Uhuru and Rutto killed some of people who were suppose to tell the truth, don't try to attack him in order to protect your tribal
 
Hahahaha... sasa watu wakiwachinja mbuzi, kunywa damu na kula nyama huku wakifanya maombi bila kumsumbua mtu yeyote ni kupanga vita?

Ni Nani aliyechokozwa kwa kutupiwa mawe?
We acha tu. Navowafahamu Mungiki, watu wa Lucky Summer wajue hayajaisha hivo. Hawa jamaa visasi vyao huwa haviishi hata mwaka ujao utaskia wanasema mapema kesho tunakunja revenge na hivo visu vyao vikubwa, wakati nyinyi mlishasahau. Hawafai kabisa.
 
What Sammuel99 is talking is true, Uhuru and Rutto killed some of people who were suppose to tell the truth, don't try to attack him in order to protect your tribal
Do you have any credible evidence?

The ICC acquitted them from those charges, are you trying to suggest that you are smarter than the Prosecutor and the Judges?
 
We acha tu. Navowafahamu Mungiki, watu wa Lucky Summer wajue hayajaisha hivo. Hawa jamaa visasi vyao huwa haviishi hata mwaka ujao utaskia wanasema mapema kesho tunakunja revenge na hivo visu vyao vikubwa, wakati nyinyi mlishasahau. Hawafai kabisa.
Nani kasema wao ni Mungiki? Any credible sources deemed reliable?
 
Do you have any credible evidence?

The ICC acquitted them from those charges, are you trying to suggest that you are smarter than the Prosecutor and the Judges?
What were the reason for termination of the case?, because Uhuru and Rutto prevented those wetness to go to The Hague, either by buying them and those who refused some have disappeared, GoT didn't cooperate with ICC as required, that include not protecting people who were suppose to witness, all this information is available on the summery of Fatou Binsouda, try to search it will know the truth.
 
What were the reason for termination of the case?, because Uhuru and Rutto prevented those wetness to go to The Hague, either by buying them and those who refused some have disappeared, GoT didn't cooperate with ICC as required, that include not protecting people who were suppose to witness, all this information is available on the summery of Fatou Binsouda, try to search it will know the truth.
So why did the GoT, Government of Tz refuse to cooperate with the ICC? Tell us. You must be very high on some very shady s.hit.
 
Nani kasema wao ni Mungiki? Any credible sources deemed reliable?
Nairobi Business Community, Kenya Youth Alliance they go by very many names this days. But the colours are the still the same, and they speak very brightly.
 
Back
Top Bottom