Mungiki watinga mjini! Makabiliano makali yaibuka..

Mungiki watinga mjini! Makabiliano makali yaibuka..

Lmao ....now lets not get ahead of ourselves !!!....

There is welcomed support and their is condescending support....

Kenya wanao ua watu sio wakikuyu
bali ni polisi...msijifanye miungu sasa .....we have a 2.21bn$ army budget yearly yenye only 70mn$ imetumika somalia ....msishikwe kwa ushabiki kwamba Kenya inaelekea Chini mkasahau "Chini" ya Kenya sio Chini ya Tanzania......two different things !!!!

Msikuje dick measuring contest mtoke Kenya bila mkoa mzima wa Arusha na mwanza!!!!....

Trust me Kenyan Propaganda and politicians will eat tanzanian system like NANOBotS .....nendeni ICC muangalie Moreno Ocampo anavyo chukuliwa.... kila mwaka a new corruption case is leveled against him with evidence!!....

Better yet angalia Bunge la Somalia

Kwa wanunge 229, ......
67 ni wakenya
28 wamarekani,
15 wa denmark!!
8 wa uingereza

Ndio maana hakuna sheria zisizo nufaisha Kenya hupita bunge lao

Wamekuwa wakitaka KDF itoke Somalia kila wiki kuna motion katika bunge kuhusu hilo swala lakini haiwezi pita!!!!

Kenya is at a tribal crisis....but its far from being 2007!!!
Trust me!!

2007 hata hewa ilikuwa inanuka vita!!!!
This is not that!!

Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app

https://JamiiForums.com.s3.amazonaws.com/2017/10/197587_31237093d254805a528a7a55fd68c30e.jpg
 
There is no Kenya any more, now we talk about People's Republic of Kenya and Central Republic of Kenya, they fight against each other, if Tanzania invade Kenya means it will be supported by one side, then tell me which country among those two can be able to resist well experienced TPDF?
haha unaamini kuna two kenyas?
 
Mjinga ni wewe mwenye akili ndogo inayoshindwa kujua kwamba kama kalenjin anamsaidia kikuyu, au kamba anamsaidia Jaluo, au mijikenda wameamua kushirikiana na Jaluo kwa msingi ya ukabila hata wao wasaidizi pia wana ukabiala?

Raila kuvalishwa kofia ya Mungiki na Mkubwa wa Mungiki. Ukabila upo kwa anayevalishwa?

392260_4413809471778_1252768818_n.jpg
 
UKWELI UNAPATIKANA KWA KUWASIKIZA PANDE ZOTE MBILI...Sasa wewe unaniambia nitumie ubongo huku wewe umemsikiza Akombe pekee yake na ukakuja na a biased conclusion. If Acup(AKOMBE) was sincere, why leave at the last moment when the Kenyan people need her most leaving Kenyans to the dogs while she runs away to watch Kenya burn?
She was the NASA mole that tried to sabotage the elections in favor of NASA.
Wewe una ukabila wa hali ya juu sana, Akombe anakuambia alipokea vitosha kwa muda mrefu ila akasema hawezi kuondoka, ni mkapa alipofuatwa akaambiwa usipojiuzulu maisha yake yapo hatarini, ulitaka aendelee kubaki wamchinje kama Msando?, ni mtu mwenye akili finyu pekee ndiyo angeweza kuendelea kubaki, kumbuka Msando alishapokea vitisho na akaripoti katika vyombo vya usalama na hakupewa ulinzi wowote, na hata alipouliwa hakuna hata mmoja aliyekamatwa kuhusiana na mauaji yake, ulitaka Akombe aendelee kubaki na yeye auliwe wakati ana uraia wa nchi nyingine ambako anaweza kwenda kuendelea na maisha bila threats?, punguza ukabila aisee.

Unadai nisikilize upande wa pili, upi huo unataka nisikilize?, Akombe is neither NASA nor Jubilee, sasa wewe unasema nisikilize upande upi wa pili, kumbuka mimi sio mkenya kwamba kila mtu mnampa side, wakenya ukabila umepoteza uwezo wenu wa kufikiria kiasi kwamba kila mtu anayeshiriki kuzungumza lolote kuhusu nchi yenu lazima mumuweke katika fungu la makabila yenu, we are not as fool as you
 
haha unaamini kuna two kenyas?
Huo ndiyo ukweli, japo ni ngumu kukubaliana nao lakini safari ya kuelekea huko ilishaanza kitambo, Raila anaenda kutangaza rasmi Jumatano ijayo movement ya kuigawa nchi, stay tune.
 
Raila kuvalishwa kofia ya Mungiki na Mkubwa wa Mungiki. Ukabila upo kwa anayevalishwa?

392260_4413809471778_1252768818_n.jpg
Ninahisi ninajadiliana na tikiti maji, kumvisha mtu kofia ndiyo kushirikiana naye?, hata kama kuna wakikuyu wachache wanashirikiana na Raila, unaweza kweli kuambia dunia kwamba Jaluo na Kikuyu are not political rivalry?
 
Wewe una ukabila wa hali ya juu sana, Akombe anakuambia alipokea vitosha kwa muda mrefu ila akasema hawezi kuondoka, ni mkapa alipofuatwa akaambiwa usipojiuzulu maisha yake yapo hatarini, ulitaka aendelee kubaki wamchinje kama Msando?, ni mtu mwenye akili finyu pekee ndiyo angeweza kuendelea kubaki, kumbuka Msando alishapokea vitisho na akaripoti katika vyombo vya usalama na hakupewa ulinzi wowote, na hata alipouliwa hakuna hata mmoja aliyekamatwa kuhusiana na mauaji yake, ulitaka Akombe aendelee kubaki na yeye auliwe wakati ana uraia wa nchi nyingine ambako anaweza kwenda kuendelea na maisha bila threats?, punguza ukabila aisee.

Unadai nisikilize upande wa pili, upi huo unataka nisikilize?, Akombe is neither NASA nor Jubilee, sasa wewe unasema nisikilize upande upi wa pili, kumbuka mimi sio mkenya kwamba kila mtu mnampa side, wakenya ukabila umepoteza uwezo wenu wa kufikiria kiasi kwamba kila mtu anayeshiriki kuzungumza lolote kuhusu nchi yenu lazima mumuweke katika fungu la makabila yenu, we are not as fool as you
Wewe sitawahi bishana na wewe.
images
 
Ninahisi ninajadiliana na tikiti maji, kumvisha mtu kofia ndiyo kushirikiana naye?, hata kama kuna wakikuyu wachache wanashirikiana na Raila, unaweza kweli kuambia dunia kwamba Jaluo na Kikuyu are not political rivalry?
images
 
Ninakushukuru kwa kuelewa ukweli, japo ninajua ubongo wako umeathirika kutokana na chuki za kikabila ulizopandikizwa tangu ukiwa mtoto, huamini kwamba watu wanaweza kuishi pamoja bila hata kuulizana makabila yao, karibu Tanzania uje ujifunze kuishi na watu kwa miaka bila kujuana wala kuulizana makabila
 
Duu nimeona picha Moja #10 askari wa kenya ana rasta kumbe wao hawakatazi kuwa na rasta
 
UKWELI UNAPATIKANA KWA KUWASIKIZA PANDE ZOTE MBILI...Sasa wewe unaniambia nitumie ubongo huku wewe umemsikiza Akombe pekee yake na ukakuja na a biased conclusion. If Acup(AKOMBE) was sincere, why leave at the last moment when the Kenyan people need her most leaving Kenyans to the dogs while she runs away to watch Kenya burn?
She was the NASA mole that tried to sabotage the elections in favor of NASA.

Akombe said that her life was in danger you fool ......she had no other option but to flee .or did you want her to stick around and end up like Msando. Whether or not she was a NASA mole her safety was more important to her than a predetermined election
 
To know your enemy, know their ways...If you cant beat them join them then beat them at their own game.
Why Kikuyu don't take any step to learn Luo and vice versa, because they hate each other more than wazungu?
 
Back
Top Bottom