mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,780
- 6,480
Lmao ....now lets not get ahead of ourselves !!!....
There is welcomed support and their is condescending support....
Kenya wanao ua watu sio wakikuyu
bali ni polisi...msijifanye miungu sasa .....we have a 2.21bn$ army budget yearly yenye only 70mn$ imetumika somalia ....msishikwe kwa ushabiki kwamba Kenya inaelekea Chini mkasahau "Chini" ya Kenya sio Chini ya Tanzania......two different things !!!!
Msikuje dick measuring contest mtoke Kenya bila mkoa mzima wa Arusha na mwanza!!!!....
Trust me Kenyan Propaganda and politicians will eat tanzanian system like NANOBotS .....nendeni ICC muangalie Moreno Ocampo anavyo chukuliwa.... kila mwaka a new corruption case is leveled against him with evidence!!....
Better yet angalia Bunge la Somalia
Kwa wanunge 229, ......
67 ni wakenya
28 wamarekani,
15 wa denmark!!
8 wa uingereza
Ndio maana hakuna sheria zisizo nufaisha Kenya hupita bunge lao
Wamekuwa wakitaka KDF itoke Somalia kila wiki kuna motion katika bunge kuhusu hilo swala lakini haiwezi pita!!!!
Kenya is at a tribal crisis....but its far from being 2007!!!
Trust me!!
2007 hata hewa ilikuwa inanuka vita!!!!
This is not that!!
Sent from my SM-J105F using JamiiForums mobile app
https://JamiiForums.com.s3.amazonaws.com/2017/10/197587_31237093d254805a528a7a55fd68c30e.jpg