Huwa nakuona kwenye threads za kutoboa maisha tu. Wewe Ni mzaliwa wa Arusha au Moshi?๐Amina mkuu..umeshatoboa tayari?
Ubarikiwe,mtumishi.Haijalishi unatoka wapi unafanya nini au wewe ni nani Mungu akikuinua hata sisi tutashangaa.
Tusichoke kusali, na kufanya kazi kwa bidii.
[emoji13][emoji13]Huwa nakuona kwenye threads za kutoboa maisha tu. Wewe Ni mzaliwa wa Arusha au Moshi?[emoji28]