Mungu akitaka ufanikiwe ni chap tu

Mungu akitaka ufanikiwe ni chap tu

Na ni kwa nini atake wewe ufanikiwe? Una vichwa viwili, tofauti na binadamu? Alikupa tu akili, jua tu maisha ni mchezo, mafanikio ni wewe mwenyewe.
 
Na ni kwa nini atake wewe ufanikiwe? Una vichwa viwili, tofauti na binadamu? Alikupa tu akili, jua tu maisha ni mchezo, mafanikio ni wewe mwenyewe.
kwani wanangu mnasomaje,
hujaona nliposema ufanye kazi kwa bidii??
 
Sawa unafanya kazi kwa bidii ila mmoja anafanikiwa na mwingine anaangukia pua. Kumbuka juhudi na maarifa ni yaleyale na afya zinalingana. Ninazungumzia hapo! Sasa hapo Mungu ana upendeleo?
 
Back
Top Bottom