Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Kwa bahati mzur mmoja wa mashahidi ni mtoto wake anakiri kuwa dingi alikuwa kisanga sanaBro kwema habari za uzima.
Hivi hizi Tuhuma za Marehemu zina ukweli ? na kwanini wamtuhumu sasa akiwa hawezi kujitetea.