Mungu aliumba ozone layer siku ya pili

Mungu aliumba ozone layer siku ya pili

Artifact Collector

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2019
Posts
6,617
Reaction score
10,205
"Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji. Mungu akalifanya anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo. Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili."

Mbingu anayoongelewa ni ozone layer ambayo ndo chanzo Cha maisha hapa Duniani
 
Back
Top Bottom