Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
"Mungu akasema, Na liwe anga katikati ya maji, likayatenge maji na maji. Mungu akalifanya anga, akayatenga yale maji yaliyo juu ya anga na yale maji yaliyo chini ya anga; ikawa hivyo. Mungu akaliita lile anga Mbingu. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya pili."
Mbingu anayoongelewa ni ozone layer ambayo ndo chanzo Cha maisha hapa Duniani
Mbingu anayoongelewa ni ozone layer ambayo ndo chanzo Cha maisha hapa Duniani