Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Hii kauli inachanganya sana. Maana ni wazi kuwa Nape na kundi lake walifurahi sana ? March 21 202.
Hii kauli inachanganya sana👇
Hii kauli inachanganya sana👇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio nimeona clip Yake ikisema tarehe 17 mungu ameamua ugomviNi ugomvi wa huko kijijini kwao
Weka hiyo clipSio nimeona clip Yake ikisema tarehe 17 mungu ameamua ugomvi
Kutesa kwa zamu. We omba na wewe zamu yako ikufikie ukiwa kijana kama NapeNape na kundi lake wanakula nchi
Acha ujinga wewe mpuuziKutesa kwa zamu. We omba na wewe zamu yako ikufikie ukiwa kijana kama Nape
Nani anampendaMujiulizeni kwann mzee mwinyi anapendwa na kilamtanzania awe mtoto au kijana au wazee
Sitegemei uandike cha maana zaidi ya hikiAcha ujinga wewe mpuuzi
Unajitambua kwamba wewe ni mpumbavu shenzi kabisa.Sitegemei uandike cha maana zaidi ya hiki
Hakuna anayempenda zaidi ya kuchelewa kufa kwa kudra za MunguMujiulizeni kwann mzee mwinyi anapendwa na kilamtanzania awe mtoto au kijana au wazee
Ndio unafurahia mtu kufa?Kwani Mungu akiamua hata huyu Nape si anakufa sasa hivi, yaani sasa hv, ila Mungu aliamua Magufuli afe, mimi sioni tatizo hapo.
Moses Nnauye alikufa kwa magonjwa ya zinaa. Alikuwa hana hata mji.Ukimuona umuulize na kifo cha Mzee Moses Nnauye ulikuwa ni uamuzi wa Mungu kwenye ugomvi upi.