Mungu anaendelea kuwaumbua, Vanessa Mdee atajwa sakata la Unga

manjis wasimuachie akahojiwe na yy
 
Hawa wanisadia polisi ili dealers,super dealer na distributor wafikiwe. Tuunge mkono jitihada za serikali.

Jux hawezi kujisafisha na yaonesha hats yule Dada take mwenye duka LA nguo pale sinza Mugabe atakuwa kwenye Ring wena
 
Afende sele the king amesema msisangae wale wanaojiita wasafi (WCB) wakawa wachafu.
 
Hata Mimi sijaelewa,ila wacha tuangalie mwisho wake itakuaje.
 
Makonda alikosea...labda kwa kuwa ana uelewa mdogo wa sheria ama hana kabisa uelewa wa masuala ya kisheria...kutaja majina ya watu ni hatua ya mwisho kabisa baada ya upelelezi kukamilika na mahakama kujiridhisha! Bad enough hawa wateule wa Ngosha wamekuwa na mamlaka kubwa kama mteuzi...kauli yao ni sheria!
 
Amehukumiwa au kutuhumiwa, hebu tusaidie ndugu.
Rudi kwenye context...kuwataja watu majina hadharani ina maana ni hukumu tayari...mbona wenye mizigo wanaogopwa? Asimame hadharani awataje wenye biashara hiyo sio kulia lia na kina Chid wasiojua hata dunia inaelekea wapi...
 
Ingefaa Sana Kama mtu atathibitika awaataje na wenzie lakini ubaya ni kwamba Hawa jamaa Kama huwa wanakiapo cha utii
 
Ohooo!!![emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jana nimewaona Yamoto band hapa kwenye kibaa flani cha kiafrika zurich uswiss. Wanajiandaa leo kutumbuiza, nilijiuliza maswali mengi sana.. i mean kazi yao ukilinganisha na mafanikio. Wasanii wanatumiwa sana kama punda. Tour nyingi wanazofanya nje ni zaidi ya mziki.. anyway tuwaachie akina babu tale na wengineo.. naona hata aibu kuweka picha ya mwonekano wao wa jana usiku, niishie hapo
 
Mkuu vijana wa sasa hivi wanapenda sana maisha ya mtelemko ndio maana wanakuwa na mwisho mbaya.
 
Kama vanessa anahusika Jux hakosi, yule demu wa jux aneshikiliwa mpka leo China ina maana Jux alikuwa hajui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…