Mungu anasema na Wakristo wa leo kwa njia ya ndoto?

Mungu anasema na Wakristo wa leo kwa njia ya ndoto?

Utulivu na kukaa kimya na kutafakari katika hali ya upweke! Kila wakati unapopata tafakuri yoyote, jitenge tafuta mahali penye ukimya mbali na hizi harakati za dunia... Fanya review ya kila tafakuri yako
Kwenye ukimya na utulivu kuna majibu mengi
Mungu huongea nasi kwenye ukimya
Ahsante kaka yangu Mshana Jr. Kwanza kwa kuthamini wito wangu na kutenga muda wako kuandika ushauri huu.
 
Mkuu hapo kwenye mtu mmoja kujibiwa maombi instantly na mwingine kuchukua muda kujibiwa au kutojibiwa kabisa huwa naona kama imekaa unfair sana, inakuwaje wakati muumba husema yeye hana upendeleo na binadamu wote kwake ni sawa, iweje wengine awape hiyo neema na wengine awanyime
NEEMA ya Mungu ipo Kwa watu wote lakini SI watu wote wanachagua kuipokea na kuiishi NEEMA hiyo. Wapo wanaoikataa tena wazi wazi!
 
Ni uwongo tu. Hakuna Cha kujibiwa maombi Wala nini. Ni udanganyifu kupitia dini Ili wanufaikie zaidi kupitia wajinga. Mleta mada ameuliza utajuaje kuwa maombi yamejibiwa na mungu au shetani. Je ukiota kusaliti chama au ndoa ni maombi ya mungu yamejibu au ya shetani. Je matokeo ya maombia mabaya au mazuri yanatoka Kwa nani.
Kama umekuwa ukikutana na waongo tu maishani mwako. Pole!
 
Utulivu na kukaa kimya na kutafakari katika hali ya upweke! Kila wakati unapopata tafakuri yoyote, jitenge tafuta mahali penye ukimya mbali na hizi harakati za dunia... Fanya review ya kila tafakuri yako
Kwenye ukimya na utulivu kuna majibu mengi
Mungu huongea nasi kwenye ukimya
Upo sahihi mtu wa Mungu.....YESU ALIENDA MAHALI PALIPO KIMYA KABISA MLIMANI KUSALI.
 
Back
Top Bottom