Mungu anaumba jamani..

Lissa Jensen Miss Mara 2006








Sasahivi wema akipiga picha na jokate ,Lissa..ataonekana mama yao mkubwa.
 
Yeah..Kuna Aunt Ezekiel na Irene Uwoya pia
aaah basi ushindan ulikuwa mkubwa ila itakuwa kilichombeba wema sio uzuri labda kwenye kujieleza,wema unajua anajiamini sana katika kuongea
 
Lisa Jensen kweli ni mzuri kuliko bibi bomba ( wema) sema alishindwa kujielezea b4 majority na bibi bomba full confidence basi akambwaga!
Kalikuwa kaoga???alafu kanaongea vizuri..


Mkuu huyu Lisa alikuwa na sifa zote tatizo kutokujiamini kulimponza. Nadhani lugha nayo ilimpa shida.
Kumbe ubora katika utemaji wa yai unamchango katika kumpata mrembo....dah🙁
 
Muulize Mange Kimambi aliyemvumbua alifanyaje aliyemuingiza mjini kushinda. Lazima walisijui nini? Wanayajua wao.
 
we jamaa mi nikajua umeweka full Picha mbona ni wa kawaida sana huyo
 
Yaani huyo ndio mrembo Sana mpaka mufungue thread jamii forums, je mkimuona GF wangu si ndio mtasaini off kabisa. Maana kuna watu tumefungia watoto bakora we acha tu.
 
Yaani huyo ndio mrembo Sana mpaka mufungue thread jamii forums, je mkimuona GF wangu si ndio mtasaini off kabisa. Maana kuna watu tumefungia watoto bakora we acha tu.
Weka picha
 
Wema Sepetu alipendelewa tu na wala hana kigezo chochote cha kuwa miss Tanzania. Muangalieni huyu demu kisha mfananisheni na Wema kwa uzuri. Nadhani jibu mmepata tayari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…