Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

 
Narudia, "shikamo baba" ushamjua yupi ndio wa kweli? Siku hizi kuna dna, kawapime tu wote.

Siku zingine ukome kuleata porojo zako kusingizia ni maneno ya Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam.
Daughter of Mutah nimekwambia kwa maandiko ya Sunni Kaa pembeni ,wajibu wenye maandiko Yao, wewe hayakuhusu

jikite kufanya mutah acha kutokana maandiko ya Sunni na kuyaita uharo na porojo
 
Tuna Mungu mmoja aliye baba na ana mwanawe wa Pekee anaitwa Yesu.
Nikuulize mwanao akitumia jina lako ni kosa?
hahahahahah Mungu wenu ana mtoto hahahahahaha

Mambo ya ANU NA KI na watoto Zao kina ENKI,ENLIL, INNANA,UTU,NANA
Huyo Mungu ni wa mchongo Tena yule Elohim /YWH/Jehovah
Ni wa mchongo part two Kwani ana mwanae anaitwa Jesus Christ

😂😂😂😂😂🔥
 

Maandiko ya biblia yanasema hivyo ndugu. Kama kuna mungu mwingine ambaye si wa mchongo tuwekee maandiko yake hapa tuyasome
 
Maandiko ya biblia yanasema hivyo ndugu. Kama kuna mungu mwingine ambaye si wa mchongo tuwekee maandiko yake hapa tuyasome
hujaona hapo Mungu ANU na watoto zake kina ENKI na ENLIL ?
NB hayo ni maandiko ya kale Kuliko Bible ya Israelites yametoka Sumeria je una maoni Gani kuyahusu?
 
I thought this topic was a logical question, mara paah nakutana na hadith za kiislamu humo ndani, ndio nikajua kumbe ni muislamu anaejaribu kuukosoa ukristo. Najua musilamu hata umfanyeje atafanya kila awezalo ama aafanya kila jitihada kutokuuelewa ukristo.

Anyway, dini zote ni taasisi za kitapeli, Mungu hayupo wala shetani hayupo. Ni hadithi tu za kutunga.

Ukisoma vitabu vya dini, kwenye uislamu ndio hadithi za Mungu zimefanywa kua za ajabu ajabu zaidi, halafu unaambiwa zilishushwa na Mungu, unajiuliza alieshisha hiki kutabu ama haya maelekezo ndio anaitwa Mungu kweli ama alikua amelewa?

Anyway, ngoja niishie hapo.
 
Daughter of Mutah nimekwambia kwa maandiko ya Sunni Kaa pembeni ,wajibu wenye maandiko Yao, wewe hayakuhusu

jikite kufanya mutah acha kutokana maandiko ya Sunni na kuyaita uharo na porojo
Uislam haukuleta shia wala sunni. Uislam ni Uislam tu, unaingiza u ccm na u chadema kwenye Uislam?

Huo ni uharo wako na hao ma sunni na mashia wenzako. Mimi nipo way above all that shit. I am a Muslim. Full stop.I am neither Shia nor Sunni. Uharo wenu tu huo mnaoutumia ku divide and rule na mapoyoyo wenzenu mnaushangilia pamoja.
 
Huo ndiyo upendo usioelezeka. Ndiyo maana imeandikwa kwa maana hii Mungu aliupenda ulimwengu. Na hii habari haijaanzishwa na wazungu.
Hakuna cha upendo hapo, ni ujuha usioelezeka. Hakuna Mungu wa aina hiyo duniani, huyo aliyeandika hayo alikuwa kalewa. Fikiri.

Ni ujuha tu kufikiri kuwa Mungu atashuka amjaza mtu mimba. wakati binaadam mpo, kishawaumba kwa kazi hizo za kuzaliana, yeye husema tu, "kuwa, inakuwa".

Ujuha wa Kirumi na Kigiriki huo wa kuwa na miungu wa kila aina, mtajazwa ujinga nyinyi tu, ili mtawaliwe vizuri na mshughulikiwe vizuri na kina Father Kit Cunningham. Na nyie mpo tu.
 
Yesu karithi jina la baba yake. Baba yake ni Mungu hivyo Yesu nae ni Mungu.
Ujuha huo. Ndio maana mpaka Yesu mnaambiwa ni mzungu mnakubali.

Yesu ana babake, someni Qur'an muielewe, mtamuelewa babake Yesu nani. Huo mkenge wengi mmeuingia, kna mpaka Waislam badala ya kuisoma Qur'an wakaielewa na wao wamejiingiza kwenye mkenge mliojazwa nao na wazungu.
 
Hayo maandiko uliyoleta ni ya kipuuzi kama wewe ulivyo. Ukiwa na nia ya kuuongelea Uislam, weka Qur'an, achana huo ujinga wako.
 
Ok FaizaFoxy. Je unayoyafanya Wewe sasa Hivi Mtume wako Muhammad aliyafanya. Unavyoabudu wewe mtume wako ndio kakuelekeza Na Alifanya Unayofanya Wewe
Naam. Kapewa Qur'an atufikishie, kaifikisha na ipo mpaka kesho, hakuna anaeweza kuibadili.

Kwa kukujuza tu, Mtume Muhammad ni Mtume wa Walimwengu wote. Hata wewe kapewa ujumbe akufikishie, Ni Mtume wa Mwenyezi Mungu, kama alivyokuwa Issa (aka Yesu), Mussa, Ibrahim, na wengine wengi tu. Naam, na mimi ujumbe aliokuja nao, ambao ni Qur'an, nnaukubali hauna shaka na ni mwema sana, sio hizo porojo zenu za Kibinaadam.
 
Mutah girl jikite kujibu acha longolongo kama umemaliza mutah mda si mrefu ,
Alie fananishia na waliofananishiwa wakaona na wakaandika walicho ona nani muongo?
Vipi kijana wa "Shikamoo Baba"? Ushamjua yupi mmoja wao?

Hakuna aliyefananisha wala kufananishiwa. Mnachosoma wewe na hao majuha wenzako hamkielewi. Sasa wewe unaamini maigizo ya Mzungu kutindikwa kwenye msalaba? Fikiri kijana, kama si maigizo na mafananisho hayo ni nini?
 
Huo ndiyo upendo usioelezeka. Ndiyo maana imeandikwa kwa maana hii Mungu aliupenda ulimwengu. Na hii habari haijaanzishwa na wazungu.
Unasema habari haijaanzishwa na Wazungu wakati hata hiyo biblia unayoisoma ni ya "King James"? Fikiri kijana.
 
Ww una chuki zako tu na Uislamu mbona hujaongelea ukristo ambao unamtukana mpk huyo Mungu wao .Pia unawadhalilisha manabii wa Mungu kua wamezini

Ata mkichukia vipi Uislamu utabaki na utaendelea na ndiyo dini ya haki ambayo wanadamu wote wanatakiwa kuifuata
 
Hayo madai ya kwamba Mungu hayupo uhakika wake ni upi ni njia gani wenzetu mnatumia hadi kufikia hilo hitimisho la kusema huyo Mungu hayupo na si vinginevyo? Au ndio kwamba dini kuwa taasisi za kitapeli ndio sababu ya kufanya kudai huyo Mungu hayupo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…