Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Hili andiko lako Mungu alishatoa jibu kwamba "msichunguze maandiko maana mnatafuta ubatili"!

Mungu alijua upo na utachunguza lutafuta makosa tuu Wala hutafuti usahihi.

Yesu ni Mungu.
Huyu jamaa aliye andika hili bandiko pamoja na kuwa hamuamini Mungu kiivyo ila ni super Genius, sio wa kupuuzwa. Sijasema tucopy paste alicho kiandika ila kuna mafunzo muhimu sana
Na tusijidanganye kuacha kumtafuta Mungu kwa kisingizio kuwa Biblia ilisema "tuache kuchunguza maandiko??? sasa usipo chunguza ukayaelewa maandiko utaelewa nini? au ndio kukrem tu?
Ni sawa na mtu akupe gari uendeshe ila akuambie usichunguze linavyofanya kazi; sasa likipata tu pancha huna cha kufanya nk nk sawa na mtu aliyekrem Biblia ila hajui chochote zaidfi ya kukremu mistari hata hajui kwa nini ililetwa, zama gani, na nini kilikuwa kinaendelea duniani wakati huo kikafanya Mungu alete hiyo mistari nk nk, akiulizwa swali anaruka kwa woga eti tusichunguze!!!!
Tukienda kwa stahili hiyo ya kukremu bila kujua maana; Binadamu ataangamia kwa kukosa maarifa!
 
Hoja yako ingelikuwa na mashiko kama ungelileta Ushahidi angalau mdogo wa unayoyasema,kutoka kwenye kitabu chochote au reserch yoyote ile ili kuthibitisha hoja yako.
Nadhani unatumia Mawazo yako too kukanusha au kukubali au siyo?
Akili ina ukomo.

Ni kweli Yesu Alizaliwa Bila baba kama Muujiza,
Nikweli baba yetu Adamu aliumbwa kwa udongo kwa mkono wa Mungu mwenyewe kisha Mkewe akafuatia.
Ni kweli kuwa wote ,wao na sisi na vilivyomo duniani vyote vinamlikiwa na Mwenye Dunia yake
Huyo Mmiliki ndiye MUNGU MUUMBA WA KILA KITU.
TUANZIE HAPO. KANUSHA HAYA KWA HOJA,
KWANI HATA WEWE YAMKINI MIAKA 50 ILIYOPITA HUKUWA CHOCHOTE WALA HUKUTAJWA.
Na miaka 50 ijayo pengine hutokuwepo tena wala hakuna atakaye jali.
Huna uwezowa kuzuia Mwisho wako na huna uwezo wa kubadili DESTIY YAKO, WEWE SI CHOCHOTE BALI Ni MAJI YA UZAZI YALIYOTIWA KWENYE UTUPU WA MWANAMKE UKAUMBWA WEWE NDANI YA TUMBO ,PILA WEWE KUTOWA MCHANGO WOWOTE WA KUWEPO KWAKO, NA KIUKWELI WAZEE WAKO WENYEWE WALIKUWA WANAJISTAREHESHA TUU KWA NGONO. TAHAMAKI MIMBA.
POLE KWA KUONA MAMBO VIBAYA.
Hoja fupi. Imeshiba.

Salute
 
Hili andiko lako Mungu alishatoa jibu kwamba "msichunguze maandiko maana mnatafuta ubatili"!

Mungu alijua upo na utachunguza lutafuta makosa tuu Wala hutafuti usahihi.

Yesu ni Mungu.
Wateuzi wa nin kiandikwe au kisiandikwe katika vitabu vile VINAVYOMUHUSU MUNGU ndio waliandika na sio Mungu
 
Waislam tunaamini Yesu hakuuliwa wala hakusulubiwa.

Mungu hazai wala kuzaliwa.
 
Back
Top Bottom