Mungu angekuwa anauliza wakati wa kututwaa, mimi ningependa kutwaliwa pamoja na mke wangu

Mungu angekuwa anauliza wakati wa kututwaa, mimi ningependa kutwaliwa pamoja na mke wangu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mwenyezi Mungu angekuwa anatuuliza akitaka kutuchukua rasmi kutoka duniani tunataka nini GENTAMYCINE jibu langu la haraka sana Kwake lingekuwa naomba akimtuma Israeli Mtoa Roho kunitwaa rasmi niondoke / anitwae pia na Mpenzi wangu au Mchumba wangu au Mke wangu Mrembo kuliko Wanawake wote duniani kwani akiondoka na Mimi peke yangu Wanaume wengine watafaidi / watajifaidia sana.
 
Mwenyezi Mungu angekuwa anatuuliza akitaka kutuchukua rasmi kutoka duniani tunataka nini GENTAMYCINE jibu langu la haraka sana Kwake lingekuwa naomba akimtuma Israeli Mtoa Roho kunitwaa rasmi niondoke / anitwae pia na Mpenzi wangu au Mchumba wangu au Mke wangu Mrembo kuliko Wanawake wote duniani kwani akiondoka na Mimi peke yangu Wanaume wengine watafaidi / watajifaidia sana.
Ushaoa au unatupanga?
 
Na watoto nani atawalea..
Si ndipo chanzo cha watoto kuwa na maisha magumu, kudhulimiwa mali na ndugu na hata kuteseka...

Ni vyema mama abaki kuwalea...

Baba ameshika mavyeo makubwa kitambo,, alikuwa hadi CEO wa NBC Bank , serikalini napo mavyeo makubwa makubwa kitambo..

Uwekezaji aliowaachia hawawezi kuwa na maisha magumu kabisa
 
Wapi Mzitoo Kabwela mzee wa kupambania wajane. Ulituwakilisha vema kwa Deo Filikunjombe na kwingineko. Haya sasa unaitiwa JLO wa Bunju kaaachwa huku na kijana wa Kanda Maalum
 
Mwenyezi Mungu angekuwa anatuuliza akitaka kutuchukua rasmi kutoka duniani tunataka nini GENTAMYCINE jibu langu la haraka sana Kwake lingekuwa naomba akimtuma Israeli Mtoa Roho kunitwaa rasmi niondoke / anitwae pia na Mpenzi wangu au Mchumba wangu au Mke wangu Mrembo kuliko Wanawake wote duniani kwani akiondoka na Mimi peke yangu Wanaume wengine watafaidi / watajifaidia sana.
Bila picha huu uzi hauna mana kabisa hutuwez kufanya imagination mkuu
 
Baba ameshika mavyeo makubwa kitambo,, alikuwa hadi CEO wa NBC Bank , serikalini napo mavyeo makubwa makubwa kitambo..

Uwekezaji aliowaachia hawawezi kuwa na maisha magumu kabisa
Mkuu, watoto wa Hans Pope siku si nyingi si walisikika ''wakibweka'' kuwa wamekosa hata ada pamoja na kuwa mzee wao aliacha ukwasi wa kutakata? Sasa nini kinachotupa hakika ya hawa wa mzee huyu ''kutokubweka'' siku moja?

Walimwengu wakiamua ubweke haijalishi umeacha nini mkuu.
 
Mwenyezi Mungu angekuwa anatuuliza akitaka kutuchukua rasmi kutoka duniani tunataka nini GENTAMYCINE jibu langu la haraka sana Kwake lingekuwa naomba akimtuma Israeli Mtoa Roho kunitwaa rasmi niondoke / anitwae pia na Mpenzi wangu au Mchumba wangu au Mke wangu Mrembo kuliko Wanawake wote duniani kwani akiondoka na Mimi peke yangu Wanaume wengine watafaidi / watajifaidia sana.
Hakuna Malaika anaitwa Israel. Israel ni jina alipewa Yakobo na akabarikiwa na hatimaye kupewa nchi na sasa tunaiona hiyo nchibya Israel
 
Mwenyezi Mungu angekuwa anatuuliza akitaka kutuchukua rasmi kutoka duniani tunataka nini GENTAMYCINE jibu langu la haraka sana Kwake lingekuwa naomba akimtuma Israeli Mtoa Roho kunitwaa rasmi niondoke / anitwae pia na Mpenzi wangu au Mchumba wangu au Mke wangu Mrembo kuliko Wanawake wote duniani kwani akiondoka na Mimi peke yangu Wanaume wengine watafaidi / watajifaidia sana.
Tafuta hela mkuu
 
Back
Top Bottom