Mungu angekuwa anauliza wakati wa kututwaa, mimi ningependa kutwaliwa pamoja na mke wangu

Mungu angekuwa anauliza wakati wa kututwaa, mimi ningependa kutwaliwa pamoja na mke wangu

Mwenyezi Mungu angekuwa anatuuliza akitaka kutuchukua rasmi kutoka duniani tunataka nini GENTAMYCINE jibu langu la haraka sana Kwake lingekuwa naomba akimtuma Israeli Mtoa Roho kunitwaa rasmi niondoke / anitwae pia na Mpenzi wangu au Mchumba wangu au Mke wangu Mrembo kuliko Wanawake wote duniani kwani akiondoka na Mimi peke yangu Wanaume wengine watafaidi / watajifaidia sana.
Pamoja na kwamba bado hajakuchukua ila bado wapo wajuba wanamtindua mkeo na Tindo za maana na haujui km wajuba wanamtindua na ukienda pia wajuba bado wataendelea kumtindua mkeo tena zaidi ya vile ulivyokua unamtindua
 
Ndoa ni udhalilishaji, usije shangaa mjane ambae ni wife wako analiwa jirani yako ambae alikuwa adui yako au hata vijana wadogo wa mtaani, akili za wanawake wanazijua wenyewe...

Hapo naunga mkono.
Niliwasikia kwa Masikio yangu wakisema "Chepuka ila mumeo asishtuke" tena waliokua wakiongea hivyo ni wamama ninaowaheshimu sana na wanaheshimika mno na waume zao hawajui km wake zao huko nje wanauza mechi na hayo wanayoelezana wanaelezana pia kwenye kitchen party zao, walikua wakimzungumzia Dada mmoja ambae ameivuruga Ndoa yake kwa kuchepuka na wanaume wengi kiasi cha kujisahau mumewe akashtukia mchezo kesi ikawa kubwa ndio wakafikia kuongea hayo wenyewe wanakazia "hakuna Mwanamke ambae hachepuki ila chepuka kiakili mumeo asishtuke" nikasema duh hata hawa kumbe ndio walewale
 
Niliwasikia kwa Masikio yangu wakisema "Chepuka ila mumeo asishtuke" tena waliokua wakiongea hivyo ni wamama ninaowaheshimu sana na wanaheshimika mno na waume zao hawajui km wake zao huko nje wanauza mechi na hayo wanayoelezana wanaelezana pia kwenye kitchen party zao, walikua wakimzungumzia Dada mmoja ambae ameivuruga Ndoa yake kwa kuchepuka na wanaume wengi kiasi cha kujisahau mumewe akashtukia mchezo kesi ikawa kubwa ndio wakafikia kuongea hayo wenyewe wanakazia "hakuna Mwanamke ambae hachepuki ila chepuka kiakili mumeo asishtuke" nikasema duh hata hawa kumbe ndio walewale
Ni wachepukaji wazuri sana mkuu...
We si unaona Baltazar alivyokula wake za matajiri...

Mwanamke unamnunulia benz E class ukijua atakupenda na kukuheshimu kumbe hamna kitu.
 
Mwenyezi Mungu angekuwa anatuuliza akitaka kutuchukua rasmi kutoka duniani tunataka nini GENTAMYCINE jibu langu la haraka sana Kwake lingekuwa naomba akimtuma Israeli Mtoa Roho kunitwaa rasmi niondoke / anitwae pia na Mpenzi wangu au Mchumba wangu au Mke wangu Mrembo kuliko Wanawake wote duniani kwani akiondoka na Mimi peke yangu Wanaume wengine watafaidi / watajifaidia sana.

Angekukana mbele ya bwana mkubwa kwamba uende mwenyewe ndio ungejijua hujui! Labda iwe hana hiyari na asiulizwe kama yupo tayari
 
Mwenyezi Mungu angekuwa anatuuliza akitaka kutuchukua rasmi kutoka duniani tunataka nini GENTAMYCINE jibu langu la haraka sana Kwake lingekuwa naomba akimtuma Israeli Mtoa Roho kunitwaa rasmi niondoke / anitwae pia na Mpenzi wangu au Mchumba wangu au Mke wangu Mrembo kuliko Wanawake wote duniani kwani akiondoka na Mimi peke yangu Wanaume wengine watafaidi / watajifaidia sana.
Natamani urudi tena baada ya miaka 15 kama bado utaitamka kwa ujasiri kauli hii.
 
Natamani urudi tena baada ya miaka 15 kama bado utaitamka kwa ujasiri kauli hii.
Tyrese Gibson kapigwa na kitu kizito huko Mwanamke anamwambia alimpendea umaarufu tu ila anaempenda kweli ni X wake, jumba alilojenga jamaa Mwanamke kachukua anatombewa na Mwanaume mwingine ambae hakuchangia hata 10 kwenye ujenzi wa nyumba hio hizo ndio akili za Wanawake
 
oardefault.jpg

Mjane mwenyewe anaonekana bado kabisa pisi kali.
Haya masuala ya kuoa mwanamke unamzidi miaka 15 au 20 tuwe makini...
 
Tyrese Gibson kapigwa na kitu kizito huko Mwanamke anamwambia alimpendea umaarufu tu ila anaempenda kweli ni X wake, jumba alilojenga jamaa Mwanamke kachukua anatombewa na Mwanaume mwingine ambae hakuchangia hata 10 kwenye ujenzi wa nyumba hio hizo ndio akili za Wanawake
Hawa viumbe siku zote ili uishi vizuri unatakiwa uwe mbinafsi(ni watu hatari kuzidi nyoka) kwa hiyo usiwe naye peke yake yaani aishi maisha ya wasiwasi kama sio talaka basi kupandishwa cheo ndo itakaa sawa huku ukimzalisha mara kwa mara bata mara chache.
Wakati mwingine Waislamu wako sahihi kwa swala hili mke akileta jeuri anapandishwa cheo anaitwa mke mkubwa na kuna kuwa na mke mdogo, mdogo akileta jeuri cheo kinapanda tena yule wa kwanza anaitwa mke wa kwanza wa pili anaitwa mkewa ta pili na anakuja mke wa tatu. wengi wanaishia hapa na husikii pressure za ujana zinawasumbua au sukari.
 
Halafu hayo majamaa ya nje yanawakuna haswa si mchezo, si unajua ukipata mwanamke mgeni, sisi wanaume inakuwa kama libido imeongezeka mara dufu...

Anakunwa hadi anakopwa na pesa na anatoa, tena pesa zako au za miradi ya familia...
Wanawake akili zao wanazijua wenyewe, kuna mmoja ameolewa Ndoa haijafika hadi miezi 2 wametibuana na jamaa yake akawa anataka kumtoroka jamaa aende kwao kisa tu ni kwamba Mwanamke alikua na kajamaa kengine ka nje kajeba ambako hadi leo wana mahusiano sijui walisoma wote akawa anakabandua tangu wakiwa shule basi alichofanya Mwanamke ile namba ya jamaa kaisevu Jina la kike 'Kurwa'

Sasa jamaa akaanza kufuatiliia mawasiliano ya mkewe akagundua huyu 'Kurwa' ndie anaewasiliana na mke mara kwa mara tena jamaa akiwa mkoani kikazi Mwanamke anakua huru sana kuvinjari na huyo 'Kurwa' sasa kwenye pekua pekua za hapa na pale akanasa meseji zenye utata ila Mwanamke anasema huyo 'Kurwa' ni rafiki yake wa kike

Nilipombana Mimi ndio akafunguka kwamba huyo 'Kurwa' ni kajamaa kake kapembeni ugomvi ukawa mkubwa aliekuja kuamulia na kuwaweka sawa ni mtoto wa Mjomba wake na jamaa ambae jamaa anakuheshimu sana basi Mwanamke akatubu pale jamaa akapotezea ila kajamaa bado kapo tu kanamfuata mke wa jamaa na bado kanamtafuna, Wanawake akili zao wanazijua wenyewe
 
Kama naliona varangati wakati wa kutwaliwa. Weeeeh ERoni ungeondoka peke yako tu kwakweli.
 
Back
Top Bottom