Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa
Hakuna kitu nakipenda kama uzima Wa afya na akili timamu. Nina muomba sana aliye juu asaidie mwaka kesho nifikishe miaka yangu 22 nikiwa mzima Wa afya njema
Toka nikiwa mdogo nilikuwaga nimepanga siku nikifikisha miaka 22 kuna jambo kubwa nitende had dunia ibaki mdomo waz hivyo naomba mwaka kesho nifikishe miaka hiyo nikiwa mzima kabisa
London boy
Hakuna kitu nakipenda kama uzima Wa afya na akili timamu. Nina muomba sana aliye juu asaidie mwaka kesho nifikishe miaka yangu 22 nikiwa mzima Wa afya njema
Toka nikiwa mdogo nilikuwaga nimepanga siku nikifikisha miaka 22 kuna jambo kubwa nitende had dunia ibaki mdomo waz hivyo naomba mwaka kesho nifikishe miaka hiyo nikiwa mzima kabisa
London boy