Mungu atawaadhibu kwa dhambi za wazazi wenu, hata kizazi cha tatu mpaka cha nne

Mungu atawaadhibu kwa dhambi za wazazi wenu, hata kizazi cha tatu mpaka cha nne

..... mimi nadhani bibilia iliandikwa kwa ajili ya watu waliokuwepo miaka hiyo. Kwa sasa mambo yamebadikika sana na naweza kusema haifit kwa ulimwengu wa sasa.
Kwa mfano, mtoto aliyezaliwa kwa mama kupandikizwa mbegu za mtu asiyemjua. Huyu mtoto asiyemjua baba laana inampataje? Dunia kama nilivyosema, mabadiliko ni mengi. Watu sasa wana uthubutu wa kuhoji. Na % kubwa ya majibu hayamalizi utata. Miaka 100 mbele toka leo watu wote tuliopo duniani ambao ni zaidi ya 8bln hatutakuwepo tena. Ambao watazaliwa toka hapo sijui kama kuna atakayekuwa anahangaika na haya makanisa na misikiti. Yatabaki majumba ya makumbusho.
 
Biblia ni Fiction stories, Hadithi za kusadikika.

Biblia ingekuwa kitabu cha Mungu kisingekuwa na "mkanganyiko" wa kutofautiana maudhui.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Ukiisoma Biblia kama gazeti la nipashe ndivyo ilivyo lakini ukiongozwa kwa msaada wa Roho Mtakatifu Biblia ni rahisi sana kuielewa na kuizingatia kivitendo.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ukiisoma Biblia kama gazeti la nipashe ndivyo ilivyo lakini ukiongozwa kwa msaada wa Roho Mtakatifu Biblia ni rahisi sana kuielewa na kuizingatia kivitendo.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Unachofanya wewe ni kuitetea Biblia kwa vile ni kitabu chako cha dini na imani yako.

Ukweli ni kwamba Biblia ni Fiction stories, Hadithi za kusadikika zisizo na ukweli wala uthibitisho wowote ule.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kiranga atasema mthibitishe kwanza kama huyo Mungu yupo kweli na sio hadithi tu.

Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
You already know.

Yani mfumo wa haki wa Mungu umepitwa haki na mfumo wa haki waliojiwekea watu tu, hapo kweli utaamini Mungu yupo?

Sheria za watu zinakataza mtoto kuhukumiwa kwa makosa ya mzazi.

Halafu Mungu anahukumu hivyo.

Huyo Mungu au stories tu?
 
You already know.

Yani mfumo wa haki wa Mungu umepitwa haki na mfumo wa haki waliojiwekea watu tu, hapo kweli utaamini Mungu yupo?

Sheria za watu zinakataza mtoto kuhukumiwa kwa makosa ya mzazi.

Halafu Mungu anahukumu hivyo.

Huyo Mungu au stories tu?

Sio sheria za Mungu, sheria ya hicho kitabu ndio kimepitwa na wakati endelea kuwa makini mkuu
 
Sio sheria za Mungu, sheria ya hicho kitabu ndio kimepitwa na wakati endelea kuwa makini mkuu
Huyo Mungu hayupo, ni hadithi za watu tu.

Kama unabisha, thibitisha huyo Mungu yupo.

Ninaposema "sheria za Mungu..." ni katika kukuonesha kuwa huyo Mungu hayupo.

Ukisema yupo, thibitisha yupo.
 
You already know.

Yani mfumo wa haki wa Mungu umepitwa haki na mfumo wa haki waliojiwekea watu tu, hapo kweli utaamini Mungu yupo?

Sheria za watu zinakataza mtoto kuhukumiwa kwa makosa ya mzazi.

Halafu Mungu anahukumu hivyo.

Huyo Mungu au stories tu?
Kwani mzazi akifa na deni, mtoto hawajibiki kulipa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sheria gani na mantiki ipi?
Tuongelee huku uraiani kwetu, hata wewe babako akiwa amekopa fedha nyingi tu hapo maeneo mnayoishi halafua bahati mbaya akafa (huu ni mfano tu), wewe hautawajibika kulipa? Nimehudhuria mazishi mengi, mara baada ya kuzika, ndugu wa marehemu wanauliuza kama kuna mtu anayemdai marehemu. Na zaidi ya hayo, mtu akikopa fedha, anaandikisha mdhamini wake (guarantor), ikitokea mkopaji kafa, huyu atawajibika!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kama ndo basi wazungu hadi sasa wangekuwa wanalipa madhambi waliyowatendea na kuendelea kuwatendea waafrika lakini mbona ipo tofauti kwao na ndo kwanza dini bado wanaongoza wao na bado wanatuburuza na Mungu amekaa kimya au ili swala lina apply kwa waafrika tu?
 
Tuongelee huku uraiani kwetu, hata wewe babako akiwa amekopa fedha nyingi tu hapo maeneo mnayoishi halafua bahati mbaya akafa (huu ni mfano tu), wewe hautawajibika kulipa? Nimehudhuria mazishi mengi, mara baada ya kuzika, ndugu wa marehemu wanauliuza kama kuna mtu anayemdai marehemu. Na zaidi ya hayo, mtu akikopa fedha, anaandikisha mdhamini wake (guarantor), ikitokea mkopaji kafa, huyu atawajibika!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mara nyingi ni mambo ya kidini, hususan Kiislamu.

Zaidi, watu wanaangalia habari za mirathi. Yule aliyekufa hawezi kulipa deni, lakini, kama ana mali ambayo inarithiwa, warithi wake wanamlipia deni, mara nyingi kabla ya kurithi mali zake, ili wasirithi mali wakati marehemu ana deni bado.

Kwa hivyo, kimsingi hapo marehemu analipiwa deni lake na warithi wake, kwa mali za marehemu, au hata kama si kwa mali za marehemu, warithi wake wanaamua kumsitiri asiondoke na deni.

Hizi habari hata ukifa Marekani huku una mikopo na credit card debt hujamaliza kulipa, halafu una nyumba na mali wanarithi familia yako, kabla ya kurithi wao, wadai wako wote wanatakiwa walipwe kwanza.

So mostly ni marehemu analipa.

Lakini hakuna sheria inayokulazimisha umlipie baba yako deni lake nje ya habari za mirathi hizo.
 
HUYO MUNGU LABDA ANATOKEA BUZA,ILA MUNGU NINAYEMJUA MIMI ANAWAPENDA WATENDA DHAMBI NDO MAANA ALIMTUMA MWANAE KUTUFIA MSALABANI AKABEBA DHAMBI ZOTE,ACHA KUDANGANYA WATU WAZIMA WEWE PUSSY
 
HUYO MUNGU LABDA ANATOKEA BUZA,ILA MUNGU NINAYEMJUA MIMI ANAWAPENDA WATENDA DHAMBI NDO MAANA ALIMTUMA MWANAE KUTUFIA MSALABANI AKABEBA DHAMBI ZOTE,ACHA KUDANGANYA WATU WAZIMA WEWE PUSSY

Punguza jazba kijana
 
kama ndo basi wazungu hadi sasa wangekuwa wanalipa madhambi waliyowatendea na kuendelea kuwatendea waafrika lakini mbona ipo tofauti kwao na ndo kwanza dini bado wanaongoza wao na bado wanatuburuza na Mungu amekaa kimya au ili swala lina apply kwa waafrika tu?

Hivi vitabu nafikiri wameleta watupumbaze tu
 
UNATUDANGANYA WAKATI MUNGU MWENYEWE HAJAWAHI KUKAA NA WEWE??ACHA UCHAWA..

Hili sio jukwaa la kupayuka kama hauna point unajua sehemu za kwenda kiongozi, hatuhitaji comment za 0% unatujazia wingi bwanah mdogo tafuta chaka ukajisaidie tafadhali, tukana mara ya mwisho ukakojoe ukalale
 
Hili sio jukwaa la kupayuka kama hauna point unajua sehemu za kwenda kiongozi, hatuhitaji comment za 0% unatujazia wingi bwanah mdogo tafuta chaka ukajisaidie tafadhali, tukana mara ya mwisho ukakojoe ukalale
ETI NA HUYU ANA POINT,ACHA UCHAWA KIJANA KWAIYO UNAJILAZIMISHA KUWA MUNGU NI MSHIKAJI WAKO??KAMA NI MSHIKAJI WAKO MBONA UTUAMBII YUPO WAPI??ALAFU UKIBISHANA NAMI UWE UNAPOINT MAANA NITAKUAIBISHA MDA HUU
 
Kizuri zaidi mwenye mamlaka na uhai wako hasemi neno kwa kuwa lina ukweli ndani yake la hasha! Bali akishasema ndiyo kashatenda, hivyo basi ni swala la muda tu kutimia alichokinena utake usitake maana Mungu huwa hapangiwi nini cha kufanya na Binadamu.

MATHAYO 24:35

Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hapo sasa
 
Dhambi za kuabudu miungu mingine zinasababisha laana ya magonjwa, mfano magonjwa ya sickle cell anemia, cancer, etc husafiri kizazi hadi kizazi.

Kuna watu wana mbinu za kuvunja laana hizo na magonjwa yanaachia
mbinu ni zipi za kuvunja hizo laana?
 
Back
Top Bottom