Mungu atuondolee moyo wa ubinafsi na ule wa kuwatamkia wenzetu mabaya pale wanapotuudhi

Mungu atuondolee moyo wa ubinafsi na ule wa kuwatamkia wenzetu mabaya pale wanapotuudhi

mama D

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
19,981
Reaction score
35,581
Mungu atuondolee moyo wa ubinafsi na ule wa kuwatamkia wenzetu mabaya pale wanapotuudhi

"Kwa maana Bwana ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume."

Kwa ibada, maombi, heshma MUNGU atatuwezesha



Mungu awajalie upendo wa moyoni uupendo upitao upendo wowote, upendo utakaowapa wanawake amani

HASIRA ZA WANAWAKE ZINAVYOGEUKA KUWA LAANA KWA WANAUME WAO
 
Amen.

Ingawa ndiyo maana mpaka Leo hii sitaki mwanamke maana kuna mwanamke alinitamkia laana ya kufukuzwa kazi na kweli nikaachishwa kazi wakati huko ndiko nilikuwa napata riziki.

Mwisho wa siku baada ya maisha kuwa magumu akawa analalamika wakati yeye ndiyo alinitia gundu ya kufukuzwa kazi eti kisa nachelewa kurufi home na kwenda kazini siku za weekend.

Nilichokifanya nilitafuta kazi nyingine kimya kimya nikawa hata nikipata mshahara simwambii nikawa kila siku ni kulalamika kinafiki kuwa sina kazi hivyo nakosa hela. Mwisho wa siku akakimbia mwenyewe.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mungu atuondolee moyo wa ubinafsi na ule wa kuwatamkia wenzetu mabaya pale wanapotuudhi

"Kwa maana Bwana ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume."

Kwa ibada, maombi, heshma MUNGU atatuwezesha

View attachment 1986322


Mungu awajalie upendo wa moyoni uupendo upitao upendo wowote, upendo utakaowapa wanawake amani


HASIRA ZA WANAWAKE ZINAVYOGEUKA KUWA LAANA KWA WANAUME WAO
Hakuna laana ya mwanadamu
 
Hakuna laana ya mwanadamu

YAKOBO 3: 5-10

Vivyo hivyo ulimi nao ni kiungo kidogo, nao hujivuna majivuno makuu. Angalieni jinsi moto mdogo uwashavyo msitu mkubwa sana.
Nao ulimi ni moto; ule ulimwengu wa uovu, ule ulimi, umewekwa katika viungo vyetu, nao ndio uutiao mwili wote unajisi, huuwasha moto mfulizo wa maumbile, nao huwashwa moto na jehanum.
Maana kila aina ya wanyama, na ya ndege, na ya vitambaavyo, na ya vitu vilivyomo baharini, vinafugika, navyo vimekwisha kufugwa na wanadamu.
Bali ulimi hakuna awezaye kuufuga; ni uovu usiotulia, umejaa sumu iletayo mauti.
Kwa huo twamhimidi Mungu Baba yetu, na kwa huo twawalaani wanadamu waliofanywa kwa mfano wa Mungu
Katika kinywa kile kile hutoka baraka na laana
. Ndugu zangu, haifai mambo hayo kuwa hivyo.


ZABURI 10: 7
Kinywa chake kimejaa laana, Na hila na dhuluma. Chini ya ulimi wake kuna madhara na uovu
 
Mungu atuondolee moyo wa ubinafsi na ule wa kuwatamkia wenzetu mabaya pale wanapotuudhi

"Kwa maana Bwana ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume."

Kwa ibada, maombi, heshma MUNGU atatuwezesha



Mungu awajalie upendo wa moyoni uupendo upitao upendo wowote, upendo utakaowapa wanawake amani

HASIRA ZA WANAWAKE ZINAVYOGEUKA KUWA LAANA KWA WANAUME WAO

Mmmh! bibie kulikoni?
 
YAKOBO 3: 5-10

Vivyo hivyo ulimi nao ni kiungo kidogo, nao hujivuna majivuno makuu. Angalieni jinsi moto mdogo uwashavyo msitu mkubwa sana.
Nao ulimi ni moto; ule ulimwengu wa uovu, ule ulimi, umewekwa katika viungo vyetu, nao ndio uutiao mwili wote unajisi, huuwasha moto mfulizo wa maumbile, nao huwashwa moto na jehanum.
Maana kila aina ya wanyama, na ya ndege, na ya vitambaavyo, na ya vitu vilivyomo baharini, vinafugika, navyo vimekwisha kufugwa na wanadamu.
Bali ulimi hakuna awezaye kuufuga; ni uovu usiotulia, umejaa sumu iletayo mauti.
Kwa huo twamhimidi Mungu Baba yetu, na kwa huo twawalaani wanadamu waliofanywa kwa mfano wa Mungu
Katika kinywa kile kile hutoka baraka na laana
. Ndugu zangu, haifai mambo hayo kuwa hivyo.


ZABURI 10: 7
Kinywa chake kimejaa laana, Na hila na dhuluma. Chini ya ulimi wake kuna madhara na uovu
Kwa uelewa wangu wa maandiko hapa haijasema eti wakitamka inakuwa laana, bali ni onyo kwa wanadamu wanaopenda kuwasemea mabaya wanadamu wenzao na kuonyesha jinsi watu wanavyotumia midomo kuleta migongano na mabaya kwenye jamii, hivyo yatupasa midomo tuitumie kunena mazuri na sio mabaya.
 
Hipo hivi mwanaume kabla hajaoa mafanikio ya maisha hutegemeana na yeye na juhudi zake ila mwanaume akaoa na akafunga ndoa basi mwanaume huyo humkabidhi mafanikio yake huyo mkewe yani mafanikio ya huyo mwanaume yatategemeana na dhamira ya mkewe ndio maana usishangae pale mwanamke anapokuwa na uwezo juu ya maisha ya mume wake

Kiufupi mwanaume akioa hupoteza uhuru binafsi juu muktadha wa maisha yake
 
Back
Top Bottom