mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Mungu atuondolee moyo wa ubinafsi na ule wa kuwatamkia wenzetu mabaya pale wanapotuudhi
"Kwa maana Bwana ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume."
Kwa ibada, maombi, heshma MUNGU atatuwezesha
Mungu awajalie upendo wa moyoni uupendo upitao upendo wowote, upendo utakaowapa wanawake amani
HASIRA ZA WANAWAKE ZINAVYOGEUKA KUWA LAANA KWA WANAUME WAO
"Kwa maana Bwana ameumba jambo jipya duniani; mwanamke atamlinda mwanamume."
Kwa ibada, maombi, heshma MUNGU atatuwezesha
Mungu awajalie upendo wa moyoni uupendo upitao upendo wowote, upendo utakaowapa wanawake amani
HASIRA ZA WANAWAKE ZINAVYOGEUKA KUWA LAANA KWA WANAUME WAO