mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
- Thread starter
- #21
Hipo hivi mwanaume kabla hajaoa mafanikio ya maisha hutegemeana na yeye na juhudi zake ila mwanaume akaoa na akafunga ndoa basi mwanaume huyo humkabidhi mafanikio yake huyo mkewe yani mafanikio ya huyo mwanaume yatategemeana na dhamira ya mkewe ndio maana usishangae pale mwanamke anapokuwa na uwezo juu ya maisha ya mume wake
Kiufupi mwanaume akioa hupoteza uhuru binafsi juu muktadha wa maisha yake
Mwanaume ni kichwa cha familia
Mke ni mlinzi na msaidizi