Hipo hivi mwanaume kabla hajaoa mafanikio ya maisha hutegemeana na yeye na juhudi zake ila mwanaume akaoa na akafunga ndoa basi mwanaume huyo humkabidhi mafanikio yake huyo mkewe yani mafanikio ya huyo mwanaume yatategemeana na dhamira ya mkewe ndio maana usishangae pale mwanamke anapokuwa na uwezo juu ya maisha ya mume wake
Kiufupi mwanaume akioa hupoteza uhuru binafsi juu muktadha wa maisha yake
Ndio hivyo mtu akiumizwa moyo anaweza tamka tu bila kujua nguvu ya kinywa chake,ni vema wanawake wakatambua hilo ili wasiwalaani wenza wao.Kubeba kweli kupo lakini kumlaani mwingine na kumuombea mabaya haijawahi kuwa suluhu
Hamnaga laana ya mwanamke inaweza mpata mwanamume.
🤣🤣🤣Amen.
Ingawa ndiyo maana mpaka Leo hii sitaki mwanamke maana kuna mwanamke alinitamkia laana ya kufukuzwa kazi na kweli nikaachishwa kazi wakati huko ndiko nilikuwa napata riziki.
Mwisho wa siku baada ya maisha kuwa magumu akawa analalamika wakati yeye ndiyo alinitia gundu ya kufukuzwa kazi eti kisa nachelewa kurufi home na kwenda kazini siku za weekend.
Nilichokifanya nilitafuta kazi nyingine kimya kimya nikawa hata nikipata mshahara simwambii nikawa kila siku ni kulalamika kinafiki kuwa sina kazi hivyo nakosa hela. Mwisho wa siku akakimbia mwenyewe.
Ulipotea sana kiongozi.Big Eimeeeen
Ni kweli kaka ..pilika nyingi sanaUlipotea sana kiongozi.
Karibu tena!Ni kweli kaka ..pilika nyingi sana