Mungu atuondolee moyo wa ubinafsi na ule wa kuwatamkia wenzetu mabaya pale wanapotuudhi


Mwanaume ni kichwa cha familia

Mke ni mlinzi na msaidizi
 
Hakuna laana kabisa, kungekuwa na laana mleta uzi angekuwa ameshalaaniwa siku nyingi sana.

Mimi nabarikiwa kila kuchwao sababu nimekua furaha ya wanaonihusu

Pole Yoda kwa kuwa laana kwa nyumba yako
 
🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…