Mungu au Shetani? Tutazame upande wa pili wa shilingi

Wengi siku hizi mnakuwa devil worshippers kwa hizi fikra. Mtapitapita sana ila mwishoni mtarudi kwenye mstari.
 
Ukifikiria kwa makini utakundua Mungu na shetani ni majina yaliyotungwa tu na watu ili kuogofya watu washindwe kuutafuta ukweli

Sent using unknown device
 
Habari za uwepo wa Mungu ni moja kati ya njia zilizotumika kuwafanya watu waishi katika mfumo mmoja.

Sijui kama utanielewa.

Ipo, hivi. Ili watu uwatawale kiurahisi, unawatengenezea kitu ambacho watakifuata wengi na kitakua utamaduni wao.
Hivyo, habari za uwepo wa Mungu ni hadithi za kutungwa walizolishwa wazee wetu ili sisi tutawalike kirahisi.

Ndio maana leo hii wewe huna sauti wala nguvu
 
Kuna vitu ukivifikiria sana unaweza kufuru lakini mkuu,tukisema tuishi kadri ya mtu anavyotaka... Unadhani dunia itakuwa na utulivu kama tulionao kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli kabisa kua hizi dini zimechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza uovu hapa duniani

Lakini tukiangalia upande wapili tunaona hizi dini ni kamba tu, izrael ambae ni taifa teule kila siku ni mtu wa kurusha makombora dhidi ya mpalestina na kuua watu, hivi kweli Mungu huyu yupo au kamba tu?



Sent using unknown device
 


Shida ni kwamba mnadhani shetani ni kiumbe mmoja aliyeumbwa na Mungu (a single creature),

Ukitaka kujua shetani anafanana vipi chukua mfano wa nuru na Giza, nuru imeumbwa lakini giza halijaumbwa na penye nuru giza huondoka na kinyume chake ndivyo hivyo Mungu na malaika ni kama nuru na shetani ni kama giza.
 
Mada imeingiliwa na wapagani, acha nirudi jukwaa la michezo πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…