Mungu awasaidie wapanda daladala

Mungu awasaidie wapanda daladala

ntuchake

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2024
Posts
408
Reaction score
1,549
Nina muda mrefu sijapanda daladala. Leo nimepqnda nilichokiona umo khaaa! Daladala imejaa hakuna sehemu ya kueka mguu. Kuna wale wanaonukia pafyumu za sh 200 zinaumiza pua na kichwa mtu unaweza ukazimia kwa harufu, halafu kuna wale wanaonuka jasho. Harufu hizi zinachanganyika kunatokea harufu ambayo haielezeki kama afya yako mgogoro unajikuta upo hospitali. Mungu awasaidie wapanda daladala wana hali ngumu sana.
 
Nina muda mrefu sijapanda daladala. Leo nimepqnda nilichokiona umo khaaa! Daladala imejaa hakuna sehemu ya kueka mguu. Kuna wale wanaonukia pafyumu za sh 200 zinaumiza pua na kichwa mtu unaweza ukazimia kwa harufu, halafu kuna wale wanaonuka jasho. Harufu hizi zinachanganyika kunatokea harufu ambayo haielezeki kama afya yako mgogoro unajikuta upo hospitali. Mungu awasaidie wapanda daladala wana hali ngumu sana.
Mwendo kasi
 
Nina muda mrefu sijapanda daladala. Leo nimepqnda nilichokiona umo khaaa! Daladala imejaa hakuna sehemu ya kueka mguu. Kuna wale wanaonukia pafyumu za sh 200 zinaumiza pua na kichwa mtu unaweza ukazimia kwa harufu, halafu kuna wale wanaonuka jasho. Harufu hizi zinachanganyika kunatokea harufu ambayo haielezeki kama afya yako mgogoro unajikuta upo hospitali. Mungu awasaidie wapanda daladala wana hali ngumu sana.
pole sana hapo bado harufu za mbupu soksi meno midomo etc etc hatari sana sipati picha kuna na za papuchi pia loooh
 
Nina muda mrefu sijapanda daladala. Leo nimepqnda nilichokiona umo khaaa! Daladala imejaa hakuna sehemu ya kueka mguu. Kuna wale wanaonukia pafyumu za sh 200 zinaumiza pua na kichwa mtu unaweza ukazimia kwa harufu, halafu kuna wale wanaonuka jasho. Harufu hizi zinachanganyika kunatokea harufu ambayo haielezeki kama afya yako mgogoro unajikuta upo hospitali. Mungu awasaidie wapanda daladala wana hali ngumu sana.
Pole sana
 
Daladala imejaa hakuna sehemu ya kueka mguu.
Kwahiyo miguu uliweka wapi mkuu au ndio ulilipia boda ikabeba miguu alafu kitambi na kiwiliwili kikabaki kwenye daladala?
Kuna wale wanaonukia pafyumu za sh 200 zinaumiza pua na kichwa mtu unaweza ukazimia kwa harufu, halafu kuna wale wanaonuka jasho.
Pafyumu ya 200😂 duh
 
Nina muda mrefu sijapanda daladala. Leo nimepqnda nilichokiona umo khaaa! Daladala imejaa hakuna sehemu ya kueka mguu. Kuna wale wanaonukia pafyumu za sh 200 zinaumiza pua na kichwa mtu unaweza ukazimia kwa harufu, halafu kuna wale wanaonuka jasho. Harufu hizi zinachanganyika kunatokea harufu ambayo haielezeki kama afya yako mgogoro unajikuta upo hospitali. Mungu awasaidie wapanda daladala wana hali ngumu sana.
Sasa tumepaka pafyumu za mafungu na wewe mbona umevaa shanga za bukubuku
 
Nina muda mrefu sijapanda daladala. Leo nimepqnda nilichokiona umo khaaa! Daladala imejaa hakuna sehemu ya kueka mguu. Kuna wale wanaonukia pafyumu za sh 200 zinaumiza pua na kichwa mtu unaweza ukazimia kwa harufu, halafu kuna wale wanaonuka jasho. Harufu hizi zinachanganyika kunatokea harufu ambayo haielezeki kama afya yako mgogoro unajikuta upo hospitali. Mungu awasaidie wapanda daladala wana hali ngumu sana.
Asante mkuu tushazoea.
 
Nina muda mrefu sijapanda daladala. Leo nimepqnda nilichokiona umo khaaa! Daladala imejaa hakuna sehemu ya kueka mguu. Kuna wale wanaonukia pafyumu za sh 200 zinaumiza pua na kichwa mtu unaweza ukazimia kwa harufu, halafu kuna wale wanaonuka jasho. Harufu hizi zinachanganyika kunatokea harufu ambayo haielezeki kama afya yako mgogoro unajikuta upo hospitali. Mungu awasaidie wapanda daladala wana hali ngumu sana.
Daladala ni usafiri wa, kimaskini sana, tunapanda kwa, shida tu, Jana nilipanda hz special hire, elfu mbili,Morocco mpaka tegeta,level seat! Kipupwe cha kutosha,akishuka MTU ndio anapanda MTU, laiti usafiri wa, umma ungekuwa hv, ingekuwa poa, lakini ile ya kusimama, Kariakoo nyuki, umesimama, aaah ni mateso matupu
 
hapo ukimani unakua usafiri wa mateso kwa sababu hauko organised. ukimani hakuna kitu kiko organised. na kilicho vizuri ni matter of time kinakua kibwengo
 
Back
Top Bottom