Mungu awasaidie wapanda daladala

Mungu awasaidie wapanda daladala

Na ikikupendeza uwe una jiwekea ka utaratibu ka kupanda walau mara 3 kwa mwezi utanishukuru baadae..
 
Nina muda mrefu sijapanda daladala. Leo nimepqnda nilichokiona umo khaaa! Daladala imejaa hakuna sehemu ya kueka mguu. Kuna wale wanaonukia pafyumu za sh 200 zinaumiza pua na kichwa mtu unaweza ukazimia kwa harufu, halafu kuna wale wanaonuka jasho. Harufu hizi zinachanganyika kunatokea harufu ambayo haielezeki kama afya yako mgogoro unajikuta upo hospitali. Mungu awasaidie wapanda daladala wana hali ngumu sana.
Acha kuigiza maisha, wasiopanda daladala hata kama gari yake ina tatizo anarequest Bolt au bajaj.
 
Nina muda mrefu sijapanda daladala. Leo nimepqnda nilichokiona umo khaaa! Daladala imejaa hakuna sehemu ya kueka mguu. Kuna wale wanaonukia pafyumu za sh 200 zinaumiza pua na kichwa mtu unaweza ukazimia kwa harufu, halafu kuna wale wanaonuka jasho. Harufu hizi zinachanganyika kunatokea harufu ambayo haielezeki kama afya yako mgogoro unajikuta upo hospitali. Mungu awasaidie wapanda daladala wana hali ngumu sana.
Kama wewe ni mwanaume basi n hasara
 
Nina muda mrefu sijapanda daladala. Leo nimepqnda nilichokiona umo khaaa! Daladala imejaa hakuna sehemu ya kueka mguu. Kuna wale wanaonukia pafyumu za sh 200 zinaumiza pua na kichwa mtu unaweza ukazimia kwa harufu, halafu kuna wale wanaonuka jasho. Harufu hizi zinachanganyika kunatokea harufu ambayo haielezeki kama afya yako mgogoro unajikuta upo hospitali. Mungu awasaidie wapanda daladala wana hali ngumu sana.
 
Mungu atusaidie kwa kweli daladala ni shida tupu hata upate siti atapanda wa kusimama atakuegemea na wakati wa kushuka shughuli pevu............. daladala jaman haswa kwa Dar ni mateso mnbo
 
Nina muda mrefu sijapanda daladala. Leo nimepqnda nilichokiona umo khaaa! Daladala imejaa hakuna sehemu ya kueka mguu. Kuna wale wanaonukia pafyumu za sh 200 zinaumiza pua na kichwa mtu unaweza ukazimia kwa harufu, halafu kuna wale wanaonuka jasho. Harufu hizi zinachanganyika kunatokea harufu ambayo haielezeki kama afya yako mgogoro unajikuta upo hospitali. Mungu awasaidie wapanda daladala wana hali ngumu sana.
Zile za kuumiza pua zinanishindaga kwakweli nashindwa kukaa karibu na huyo mtu ila sijasema za tsh200😂
 
Mungu atusaidie kwa kweli daladala ni shida tupu hata upate siti atapanda wa kusimama atakuegemea na wakati wa kushuka shughuli pevu............. daladala jaman haswa kwa Dar ni mateso mnbo
UKute umekaa alafu jamaa kabeba beg lake na kuegemea 😅😅kero sana na haoni shida hata umuoneshe ishara
 
Nina muda mrefu sijapanda daladala. Leo nimepqnda nilichokiona umo khaaa! Daladala imejaa hakuna sehemu ya kueka mguu. Kuna wale wanaonukia pafyumu za sh 200 zinaumiza pua na kichwa mtu unaweza ukazimia kwa harufu, halafu kuna wale wanaonuka jasho. Harufu hizi zinachanganyika kunatokea harufu ambayo haielezeki kama afya yako mgogoro unajikuta upo hospitali. Mungu awasaidie wapanda daladala wana hali ngumu sana.
lkn sasa tatizo kubwa n ww kuishi huku jalalani nchi ya ulimwengu wa3 tafadhal nenda kwa wenzako huko nchi za ulimwengu wa 1 huku tuachie sisi tulozoea sawa ndugu.......ujuaji mwingi.
 
Mungu atusaidie kwa kweli daladala ni shida tupu hata upate siti atapanda wa kusimama atakuegemea na wakati wa kushuka shughuli pevu............. daladala jaman haswa kwa Dar ni mateso mnbo
Halafu watu wote wanajazana mlangoni kusogea nyuma hawataki hahahaha
 
Back
Top Bottom