Mungu Baba tusamehe tumekunywa

Mungu Baba tusamehe tumekunywa

The Eric

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2019
Posts
6,446
Reaction score
10,976
Mungu baba tusamehe tumelewa hii Dunia kuna watu wanakeraaaaa!

Wanangu eeeh kwani mi nikifanikiwa nini unapungukiwa au wewe ukifanikiwa nini napungukiwa? Kumbe siku hizi wachawi sio wazee!

Daaah yaani wakuu, wana wa siku hizi wana pigo za kiduazi kinoma yani mtu anakusnitch afu siyo poa. Daaah, asiyependa ufanikiwe ni vavayo. Ila kama riziki ni yangu nitaipata hata wakibana.

Mungu baba tusamehe tumekunywa, kuna watu hii Dunia wanakera.
 
Hata wewe kuna wana wanakuona Snitch vilevile kama unavyowaona wao. Hakuna msafi, kila mtu ni bad guy kwa mwingine...

Sio lazima kua na marafiki... Just be you . You're far better on your own☺️
Basi mungu baba atusamehe.
 
Kunywa tunakunywa maziwa na asali 😉😉
 
Kunywa tunakunywa maziwa na asali 😉😉
Hayi mama naona una mapepo njoo hapa niyakemeee, mungu baba tusamehe tumelewa hii dunia kuna watu wanakera.....😂😂😂😂
 
Hayi baba naona una mapepo tuyakemee.......chikiri papapapa bolibooooo
255717300463_status_2b1425a73d224bd5a0d6961da72e311b.jpg
 
Back
Top Bottom