Mungu fundi kuna visichana vina sura nzuri jamani

Eti hawa ndio vijana wanaotakiwa kuwa Patriots wa nchi hii ili iweze kutoboa kwenye anga za kimataifa na hivyo kuhesabika nchi kama zingine hapa Duniani![emoji4]
Mbona mzigo huo unanitupia mimi mkuu
 
Tushakula sana watoto kama hao mkuu..af nilivyomshenz,picha za madem zangu na ma x huaga sifuti,..nakaaga nasema daah,hiv kumbe nishawai piga mtoto mkal kama huyu eeh,.nachekaaga sana,zingne za ma x naziibaga kwenye insta zao au whatsapp,hahah,.am soo proud of maself kwakwel
 
Cjaona ufundi wowote hapo labda nipost ya my waifu wangu ushangae mwaka mzima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…