kauga Jafar
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 230
- 123
Wa kawaida tu huyo mbona.Aman iwe nanyi wakuu
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Aisee kwa kweli Mungu ni fundi mazee kuna watu wana sura tamu sana mazee
Unaweza hata kulala miaka yote ukiwa unamuwaza yeye endapo utabahatika kuwaona
Kuna msichana leo nimekutana naye aisee kaniacha hoi sana sema tu nilikuwa kwenye gar alteza afu kwenye jam hivyo sikupata mda wa kupak na kumfatilia
Acha tu aiseeView attachment 669319
Happy new year friendUsingekuwa kwenye alteza ungemuona vizuri.
Hahahahaha..Mkuu sisi maisha tushaga yajenga kitambo sana
HUYO BEIRA AKILI ZAKE NI CARBON COPY YA K 4 REAL NA DEO KISANDU!...Mbona unafanana nae mkuu?
Safi sana wewe ndo ngosha sasaTushakula sana watoto kama hao mkuu..af nilivyomshenz,picha za madem zangu na ma x huaga sifuti,..nakaaga nasema daah,hiv kumbe nishawai piga mtoto mkal kama huyu eeh,.nachekaaga sana,zingne za ma x naziibaga kwenye insta zao au whatsapp,hahah,.am soo proud of maself kwakwel