Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Hapo zamani za kale Mungu alidhihiri mamlaka na uwepo wake kwenye nafsi za wanaume na ndiomana alifanya mwanaume amuoe mwanamke ili aendeshe familia kwa mfano wa Mungu.
Je, endapo jamii au familia inaongozwa na mwanamke huyu Mungu hubadirisha utaratibu na kanuni za umungu wake?
Mungu atabaki kuwa Mungu jamii inayokaidi kanuni na misingi ya Mungu ikumbuke kisa Cha Delilah na Samson, Kisa Cha Adam na Hawa. Hio jamii haiwezi kubaki salama.
Nawaacha na tafakuri ya kimungu.
Ni hayo tu
Wadiz
Je, endapo jamii au familia inaongozwa na mwanamke huyu Mungu hubadirisha utaratibu na kanuni za umungu wake?
Mungu atabaki kuwa Mungu jamii inayokaidi kanuni na misingi ya Mungu ikumbuke kisa Cha Delilah na Samson, Kisa Cha Adam na Hawa. Hio jamii haiwezi kubaki salama.
Nawaacha na tafakuri ya kimungu.
Ni hayo tu
Wadiz