Mungu hana msemaji wala dalali huku duniani

Mungu hana msemaji wala dalali huku duniani

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Nawafokea kwa karipio kali watu wote wanao tumia maandiko kuwahadaa walimwengu

Wapo watu wanaodhani ni ujanja au uwerevu ku-take advantage ya ujinga wa wenzao kwa kuwahadaa kwamba wao ni mitume au manabii au madalali au mawakala au wasemaji wa Mungu

Wanakusanya makundi makubwa ya watu wapumbavu na kuwachosha kwa ibada ndefu na kuwaaminisha kwamba wanawapa revelations au baraka za Mungu kwa imani ya kupata maisha ya furaha mbinguni au kwa njia ya kupata mali na heri hapa duniani.

Huu upumbavu umeenea kwa kasi na unachangamkiwa na watu wenye IQ ndogo wanao hadaa wajinga na wapumbavu wenzao. Unfortunately, nchi yetu ina mkusanyiko mkubwa zaidi wa watu wapumbavu na huo ndiyo mtaji wao.

Nawafokea tena kwa karipio kali zaidi. This nonsense must stop. Mungu hana wakala,dalali ama msemaji huku duniani. Mungu haitaji hao watu kufanya shughuli zake. Hao watu ni viumbe tena dhaifu na kiufupi hawana mastahili yoyote mbele za Mungu.

Maandiko yako wazi, muombe Mungu wako na atasikia maombi yako. Hautaji mtu wa kati. Makinika na chukua tahadhari.
 
Hii iende kwa wafuasi wa nabii anayejiita Joshua ...nimemuona kwa startv kama sikosei anawapanga waumini wake hadi utacheka.

Anawaambia naenda mlimani siku kadhaa kuongea na Mungu ..kwahiyo orodhesha shida zako kwa namba fulani mimi ntayaonbea na Mungu atakujibu withini a certain period.

Ila cha kufanya nitume mimi niende mlimani wewe endele kutafta hela anasema wagawane majukumi. kwamba wafuasi watafte hela yeyr aende mlimani...akatuma na namba za kutuma hizo pesa..nilijiskia hasira ila nikaishia kucheka...poleni wafuasi wa aina hii🙌


Screenshot_20230502-095135_YouTube.jpg
 
Hii iende kwa wafuasi wa nabii anayejiita Joshua ...nimemuona kwa startv kama sikosei anawapanga waumini wake hadi utacheka ...
Hakika, huyo ni kikaragosi mbele ya Mungu. Amini nawaambia Mungu hana muda wa kupoteza na huyo boya.
 
Naamini Mungu yupo,
Ila ukichukua Kila unaloambiwa bila kufanya reference ya Biblia inasemaje utapotea,
Tumepewa akili tuzitumie.
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"
Information is Power,
Usiache kusoma Biblia
Tusome neno la Mungu na tumuombe yeye mwenyewe
 
Nawafokea kwa karipio kali watu wote wanao tumia maandiko kuwahadaa walimwengu

Wapo watu wanaodhani ni ujanja au uwerevu ku-take advantage ya ujinga wa wenzao kwa kuwahadaa kwamba wao ni mitume au manabii au madalali au mawakala au wasemaji wa Mungu

Wanakusaja makundi makubwa ya watu wapumbavu na kuwachosha kwa ibada ndefu na kuwaaminisha kwamba wanawapa revelations au baraka za Mungu kwa imani ya kupata maisha ya furaha mbinguni au kwa njia ya kupata mali na heri hapa duniani.

Huu upumbavu umeenea kwa kasi na unachangamkiwa na watu wenye IQ ndogo wanao hadaa wajinga na wapumbavu wenzao. Unfortunately, nchi yetu ina mkusanyiko mkubwa zaidi wa watu wapumbavu na huo ndiyo mtaji wao.

Nawafokea tena kwa karipio kali zaidi. This nonsense must stop. Mungu hana wakala,dalali ama msemaji huku duniani. Mungu haitaji hao watu kufanya shughuli zake. Hao watu ni viumbe tena dhaifu na kiufupi hawana mastahili yoyote mbele za Mungu.

Maandiko yako wazi, muombe Mungu wako na atasikia maombi yako. Hautaji mtu wa kati. Makinika na chukua tahadhari.
 

Attachments

  • VID-20230501-WA0103.mp4
    13.4 MB
Nawafokea kwa karipio kali watu wote wanao tumia maandiko kuwahadaa walimwengu

Wapo watu wanaodhani ni ujanja au uwerevu ku-take advantage ya ujinga wa wenzao kwa kuwahadaa kwamba wao ni mitume au manabii au madalali au mawakala au wasemaji wa Mungu

Wanakusaja makundi makubwa ya watu wapumbavu na kuwachosha kwa ibada ndefu na kuwaaminisha kwamba wanawapa revelations au baraka za Mungu kwa imani ya kupata maisha ya furaha mbinguni au kwa njia ya kupata mali na heri hapa duniani.

Huu upumbavu umeenea kwa kasi na unachangamkiwa na watu wenye IQ ndogo wanao hadaa wajinga na wapumbavu wenzao. Unfortunately, nchi yetu ina mkusanyiko mkubwa zaidi wa watu wapumbavu na huo ndiyo mtaji wao.

Nawafokea tena kwa karipio kali zaidi. This nonsense must stop. Mungu hana wakala,dalali ama msemaji huku duniani. Mungu haitaji hao watu kufanya shughuli zake. Hao watu ni viumbe tena dhaifu na kiufupi hawana mastahili yoyote mbele za Mungu.

Maandiko yako wazi, muombe Mungu wako na atasikia maombi yako. Hautaji mtu wa kati. Makinika na chukua tahadhari.

Nakukaripia kwa Jina la Yesu Kristo aliye hai acha hila za kuzuia injili ya kweli isihubiriwe

Yeye Mwenyezi Mungu muumba amekutuma wewe, amenituma mimi na wengine kufanya kazi zake.

Tumia akili za moyoni kuwatambua matapeli ila usitumie kigezo cha utapeli kuzuia kazi ya Mungu

ISAYA 6:8
Kisha nikaisikia sauti ya Bwana, akisema, Nimtume nani, naye ni nani atakayekwenda kwa ajili yetu? Ndipo niliposema, Mimi hapa, nitume mimi.

YOHANA 17:18
Kama ulivyonituma mimi ulimwenguni, nami nawatuma wao ulimwenguni.

MATHAYO 10:16
Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwa-mwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.
 
Nakukaripia kwa Jina la Yesu Kristo aliye hai
Acha injili ya kweli ihubiriwe
Yeye muumba amekutuma wewe, amenituma mimi na wengine kufanya kazi zake.
Tumia akili za moyoni kuwatambua matapeli ila usitumie kigezo cha utapeli kuzuia kazi ya Mungu
An African woman following a prophet ni sawa mwendawazimu.
 
Nakukaripia kwa Jina la Yesu Kristo aliye hai
Acha injili ya kweli ihubiriwe
Yeye muumba amekutuma wewe, amenituma mimi na wengine kufanya kazi zake.
Tumia akili za moyoni kuwatambua matapeli ila usitumie kigezo cha utapeli kuzuia kazi ya Mungu
Nadhani ata Yesu mwenyewe atakua anakucheka
 
Nadhani ata Yesu mwenyewe atakua anakucheka
Umetekwa wewe

Yesu Awatuma Wanafunzi Wake
Matayo 28:16-19
16 Basi wale wanafunzi kumi na mmoja wakaenda Galilaya kwe nye ule mlima ambao Yesu aliwaagiza. 17 Walipomwona, walimwabu du. Lakini baadhi yao waliona mashaka.

18 Yesu akawakaribia akawaambia, “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
19 Kwa hiyo nendeni mkawafanye watu wa mataifa yote kuwa wanafunzi wangu: mkiwabatiza kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.


MATHAYO 10:1
Yesu aliwaita wanafunzi wake kumi na wawili, akawapa uwezo wa kuwafukuza pepo wachafu na kuponya magonjwa na maradhi yote.
 
Umetekwa wewe

Yesu Awatuma Wanafunzi Wake
Matayo 28:16-19
16 Basi wale wanafunzi kumi na mmoja wakaenda Galilaya kwe nye ule mlima ambao Yesu aliwaagiza. 17 Walipomwona, walimwabu du. Lakini baadhi yao waliona mashaka.

18 Yesu akawakaribia akawaambia, “Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
19 Kwa hiyo nendeni mkawafanye watu wa mataifa yote kuwa wanafunzi wangu: mkiwabatiza kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu.
Ni hivi, hawa wanaojiita hayo majina wanajua kwamba mitume na manabii waliteswa na kupitia kwenye tanuru za moto. Sasa tuwapelekee moto kama hawataingia mitini?

 
An African woman following a prophet ni sawa mwendawazimu.

Mwendawazimu ni Yule anayekataa asichokijua na kumtukana asiyemjua


KUMBUKUMBU 13:1-4
Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu,
ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo;
wewe usiyasikize maneno ya nabii yule, au yule mwotaji wa ndoto, kwa kuwa Bwana, Mungu wenu, yuawajaribu, apate kujua kwamba mwampenda Bwana, Mungu wenu, kwa mioyo yenu yote na roho zenu zote.
Tembeeni kwa kumfuata Bwana, Mungu wenu; mcheni na kushika maagizo yake na kuisikia sauti yake, nanyi mtumikieni na kushikamana naye.
 
Back
Top Bottom