Mungu hana msemaji wala dalali huku duniani

Mungu hana msemaji wala dalali huku duniani

Ni hivi, hawa wanaojiita hayo majina wanajua kwamba mitume na manabii waliteswa na kupitia kwenye tanuru za moto. Sasa tuwapelekee moto kama hawataingia mitini?



Hao wa udongo wako tangu enzi. Kapambane nao lakini usituambie tuachane na Mungu ati sababu ya hao wadanganyifu wachache

Ningekuheshimu kama ungesaidia wale wanaua watoto zao, wazazi wao, albino sababu ya kutafuta mafanikio. Vinginevyo nakuchukulia kama wewe ni agent wa Yule malaika wa sifa aliyetupwa kuzimu
 
Hawa watu wanafanya mzaha na Mungu. Mwenye enzi Mungu si wakufanyiwa mizaha. Watubu na kuomba huruma yake

Watu wenye mzaha zamani walikua wanauwawa ila sasa sababu ya sheria za nchi zipo wanashughulikiwa na mamlaka husika

KUMBUKUMBU LA TORATI 13:1-9
1 Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu,
2 ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo;
3 wewe usiyasikize maneno ya nabii yule, au yule mwotaji wa ndoto, kwa kuwa Bwana, Mungu wenu, yuawajaribu, apate kujua kwamba mwampenda Bwana, Mungu wenu, kwa mioyo yenu yote na roho zenu zote.
4 Tembeeni kwa kumfuata Bwana, Mungu wenu; mcheni na kushika maagizo yake na kuisikia sauti yake, nanyi mtumikieni na kushikamana naye.
5 Na yule nabii, au yule mwotaji wa ndoto, na auawe, kwa kuwa amesema yaliyopotoka juu ya Bwana, Mungu wenu, aliyewatoa katika nchi ya Misri, akakukomboa katika nyumba ya utumwa, apate yule mtu kukupotoa katika njia aliyokuamuru Bwana, Mungu wako, uiendee. Ndivyo utakavyouondoa uovu utoke katikati yako.
6 Atakapokushawishi kwa siri ndugu yako, mwana wa mamaako, au mwana wako, au binti yako, au mke wa kifuani mwako, au rafiki yako aliye kama moyo wako, akikuambia, Twende tukaabudu miungu mingine usiyoijua wewe wala baba zako;
7 katika miungu ya mataifa yaliyo kando-kando yenu karibu nawe au mbali nawe, tokea ncha moja ya dunia hata ncha ya pili ya dunia;
8 usimkubalie wala usimsikize; wala jicho lako lisimwonee huruma, wala usimwache, wala usimfiche;
9 mwue kweli; mkono wako na uwe wa kwanza juu yake katika kumwua, na baadaye mikono ya watu wote.

Tafuta kuijua kweli nayo itakuweka huru MIXOLOGIST vinginevyo utuambie roho ya mpinga Kristo imekuvamia
 
Mwendawazimu ni Yule anayekataa asichokijua na kumtukana asiyemjua


KUMBUKUMBU 13:1-4
Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu,
ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo;
wewe usiyasikize maneno ya nabii yule, au yule mwotaji wa ndoto, kwa kuwa Bwana, Mungu wenu, yuawajaribu, apate kujua kwamba mwampenda Bwana, Mungu wenu, kwa mioyo yenu yote na roho zenu zote.
Tembeeni kwa kumfuata Bwana, Mungu wenu; mcheni na kushika maagizo yake na kuisikia sauti yake, nanyi mtumikieni na kushikamana naye.
You are not mentally enough to argue with me.

Tuishie hapa.
 
Hao wa udongo wako tangu enzi. Kapambane nao lakini usituambie tuachane na Mungu ati sababu ya hao wadanganyifu wachache

Ningekuheshimu kama ungesaidia wale wanaua watoto zao, wazazi wao, albino sababu ya kutafuta mafanikio. Vinginevyo nakuchukulia kama wewe ni agent wa Yule malaika wa sifa aliyetupwa kuzimu
Sijawahi sema uachane na Mungu, mpende bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, mpende na jirani yako kama nafsi yako.

Shida yangu ni kwa hao wachumia tumbo, wanaojifanya mawakala, madalali au wasemaji wa Mungu.

Kwa uelewa wangu, Mungu haitaji dalali, wakala au msemaji kwenye operations zake. Ametupa maandiko, yasome ujiratibu.
 
Sijawahi sema uachane na Mungu, mpende bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, mpende na jirani yako kama nafsi yako.

Shida yangu ni kwa hao wachumia tumbo, wanaojifanya mawakala, madalali au wasemaji wa Mungu.

Kwa uelewa wangu, Mungu haitaji dalali, wakala au msemaji kwenye operations zake. Ametupa maandiko, yasome ujiratibu.
Mkuu huwezi bishana na mwanamke wa kiafrika mwenye itikadi kali za kidini.

Hawezi kukuelewa.
 
Sijawahi sema uachane na Mungu, mpende bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, mpende na jirani yako kama nafsi yako.

Shida yangu ni kwa hao wachumia tumbo, wanaojifanya mawakala, madalali au wasemaji wa Mungu.

Kwa uelewa wangu, Mungu haitaji dalali, wakala au msemaji kwenye operations zake. Ametupa maandiko, yasome ujiratibu.


Tumia akili zako vizuri ujue jinsi ya kudeal na hao unaowaita wachumia tumbo ila usipotoshe watu
 
Ni ukweli Mungu Hana dalali hapa duniani , uritiri wa madhehebu na dini ni miradi ya watu wachumia tumbo , Yesu kufa msalabani alivunja hii Aina ya utapeli , inashangaza mtu mzima na akili unakalisha tako kumsikiliza sjui mtume , mara nabii mara mchungaji ......

Walimu wa dini na madhehebu wanachukiana na kupondana , huku kila mmoja akijiona ni sahihi , hakuna Mungu anayeweza kubaliana na huu upuuzi ...

Yesu alikufa msalabani ili mataifa yote bila kujali tamaduni na matabaka waweze kumfikia Mungu direct onspot wanapomhitaji , wewe kazi yako ni kuwa serious tuu kuomba Kwa jina la Yesu na Mungu anasikia popote pale ulipo na mazingira yyte , cha msingi uwe na nia ya dhati ....

Ni upuuzi kutegemea dini na madhehebu , wachungaji na mitume Sjui manabii ni total ridiculously, yeye mwenyewe alisema Mimi ndimi mchungaji mwema , ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe , inakuwaje unamfata mtu aisee anakudanganya umpe hela ili Mungu akufanikishe how comes ?
 
Tumia akili zako vizuri ujue jinsi ya kudeal na hao unaowaita wachumia tumbo ila usipotoshe watu
Kuna upotofu gani katika kumuheshimisha Mungu? Mwenye enzi Mungu ni mwenye mamlaka na hana ubia na mtu yoyote, haitaji msaidizi wala wakala, wala dalali au msemaji katika operations zake.

Alituumba kwa mapenzi yake na atatuchukua kwa mapenzi yake. Hana shirika na kiumbe chochote wala haitaji ushauri au msaada wowote kutoka kwetu wanadamu. Mungu hamtegemei mwanadamu kwa jambo lolote.

Hao vilaza wanajitukuza na kujitakafutiza kwa kujifanya kuwa na ubia au access na mipango ya Mungu, kwamba wanaweza kumfanyia Mungu uchawa ili wengine wapate msaada, pathetic
 
Kuna upotofu gani katika kumuheshimisha Mungu? Mwenye enzi Mungu ni mwenye mamlaka na hana ubia na mtu yoyote, haitaji msaidizi wala wakala, wala dalali au msemaji katika operations zake.

Alituumba kwa mapenzi yake na atatuchukua kwa mapenzi yake. Hana shirika na kiumbe chochote wala haitaji ushauri au msaada wowote kutoka kwetu wanadamu. Mungu hamtegemei mwanadamu kwa jambo lolote.

Hao vilaza wanajitukuza na kujitakafutiza kwa kujifanya kuwa na ubia au access na mipango ya Mungu, kwamba wanaweza kumfanyia Mungu uchawa ili wengine wapate msaada, pathetic

Wewe una shida sehemu, either Hujui unayoongea au hujui unalotaka!?
Kumheshimisha Mungu ndio kunapatikana kwa kufundisha na kuhubiri neno lake
Kama kuna wanaopotosha deal nao wao ila usigeneralize mambo
 
Ni ukweli Mungu Hana dalali hapa duniani , uritiri wa madhehebu na dini ni miradi ya watu wachumia tumbo , Yesu kufa msalabani alivunja hii Aina ya utapeli , inashangaza mtu mzima na akili unakalisha tako kumsikiliza sjui mtume , mara nabii mara mchungaji ......

Walimu wa dini na madhehebu wanachukiana na kupondana , huku kila mmoja akijiona ni sahihi , hakuna Mungu anayeweza kubaliana na huu upuuzi ...

Yesu alikufa msalabani ili mataifa yote bila kujali tamaduni na matabaka waweze kumfikia Mungu direct onspot wanapomhitaji , wewe kazi yako ni kuwa serious tuu kuomba Kwa jina la Yesu na Mungu anasikia popote pale ulipo na mazingira yyte , cha msingi uwe na nia ya dhati ....

Ni upuuzi kutegemea dini na madhehebu , wachungaji na mitume Sjui manabii ni total ridiculously, yeye mwenyewe alisema Mimi ndimi mchungaji mwema , ajaye kwangu sitamtupa nje kamwe , inakuwaje unamfata mtu aisee anakudanganya umpe hela ili Mungu akufanikishe how comes ?
Hakika mkuu, lazima tuwarudishe kwenye utimamu wa akili, kama wanazo
 
Wewe una shida sehemu, either Hujui unayoongea au hujui unalotaka!?
Kumheshimisha Mungu ndio kunapatikana kwa kufundisha na kuhubiri neno lake
Kama kuna wanaopotosha deal nao wao ila usigeneralize mambo
Hao wanaojiita wachungaji, sijui kitu gani, wanafikiri wanaweza wakamfanyia Mungu uchawa? They must think critically
 
Nawafokea kwa karipio kali watu wote wanao tumia maandiko kuwahadaa walimwengu

Wapo watu wanaodhani ni ujanja au uwerevu ku-take advantage ya ujinga wa wenzao kwa kuwahadaa kwamba wao ni mitume au manabii au madalali au mawakala au wasemaji wa Mungu

Wanakusanya makundi makubwa ya watu wapumbavu na kuwachosha kwa ibada ndefu na kuwaaminisha kwamba wanawapa revelations au baraka za Mungu kwa imani ya kupata maisha ya furaha mbinguni au kwa njia ya kupata mali na heri hapa duniani.

Huu upumbavu umeenea kwa kasi na unachangamkiwa na watu wenye IQ ndogo wanao hadaa wajinga na wapumbavu wenzao. Unfortunately, nchi yetu ina mkusanyiko mkubwa zaidi wa watu wapumbavu na huo ndiyo mtaji wao.

Nawafokea tena kwa karipio kali zaidi. This nonsense must stop. Mungu hana wakala,dalali ama msemaji huku duniani. Mungu haitaji hao watu kufanya shughuli zake. Hao watu ni viumbe tena dhaifu na kiufupi hawana mastahili yoyote mbele za Mungu.

Maandiko yako wazi, muombe Mungu wako na atasikia maombi yako. Hautaji mtu wa kati. Makinika na chukua tahadhari.
Nakubaliana na wewe mkuu.

The warning must go to Pope as well. He must stop calling himself a representative son of God.
Utaratibu wa kutubu kwa binadamu mwenzetu ni batili
 
Nakubaliana na wewe mkuu.

The warning must go to Pope as well. He must stop calling himself a representative son of God.
Utaratibu wa kutubu kwa binadamu mwenzetu ni batili
Mkuu acha hasira na pope
Kama hakufai unaachana nae huna haja ya kutaka awe unachotaka wewe maana hatokuwa
Religious tolerance ni kipimo cha chini kabisa cha ustaarabu n.a. heshma ya mtu
 
Back
Top Bottom