uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,240
Si kazi yangu kukuchagulia pumba na mchele coz ubwabwa unakula wewe.Haiingii akilini kumchagua Gwajima mtu wa hovyo mwenye matusi, dharau, mhuni, na mwenye kuhamasisha ukabila nchini. Ni mpumbavu tu ndio atamchagua huyu askofu wa wajinga.