Mungu ibariki Police Tanzania FC imlipie kisasi Gomez

Mungu ibariki Police Tanzania FC imlipie kisasi Gomez

Simba wamemkosea sana kocha

Pumbavu zao!

Wakufukuza alikuwa Mo na kale ka demu kake
Kwan mkataba wa Gomez ulikuwa unasemaje tuanzie hapo? Vijana achek kulopoka vitu msivyovijua jamaa aliwekewa lengo la kuifikisha semi fina caf msimu huu hata makund hajafika ulitaka uongoz wa simba ufanye nn juu yake na ni kipengele kiko kwenye mkataba.
 
Kwan mkataba wa Gomez ulikuwa unasemaje tuanzie hapo???vijana achek kulopoka vitu msivyovijua jamaa aliwekewa lengo la kuifikisha semi fina caf msimu huu hata makund hajafika ulitaka uongoz wa simba ufanye nn juu yake na ni kipengele kiko kwenye mkataba.
Mkataba mwenzetu umeusomea wapi ukajua kuwa kuna hiko kipengele?
 
Kwan mkataba wa Gomez ulikuwa unasemaje tuanzie hapo???vijana achek kulopoka vitu msivyovijua jamaa aliwekewa lengo la kuifikisha semi fina caf msimu huu hata makund hajafika ulitaka uongoz wa simba ufanye nn juu yake na ni kipengele kiko kwenye mkataba.
Hayo malengo ni batili na feki kwakuwa Wachezaji alionao msimu huu sio kama wale aliofika nao robo final msimu uliopita. Pesa waliyopata kwa kuuza Chama na miquissone ingetumika kununua wachezaji wazuri wenye kaliba kama au zaidi ya waliouzwa. Walitumia sehemu ndogo ya hela Ile kuleta makinda (kanoute, sakho na Banda ambayo yanahitaji kulelewa.

Nilishasemaga humu kuwa wachezaji wazuri na wenye vipaji kutoka Africa magharibi na Kaskazini huwa wanachukuliwa na timu za Ulaya, hawaji Simba kamwe. Ukiona wamekuja Simba ujue kuwa hawana skills za kutisha.
 
Hayo malengo ni batili na feki kwakuwa Wachezaji alionao msimu huu sio kama wale aliofika nao robo final msimu uliopita. Pesa waliyopata kwa kuuza Chama na miquissone ingetumika kununua wachezaji wazuri wenye kaliba kama au zaidi ya waliouzwa. Walitumia sehemu ndogo ya hela Ile kuleta makinda (kanoute, sakho na Banda ambayo yanahitaji kulelewa.

Nilishasemaga humu kuwa wachezaji wazuri na wenye vipaji kutoka Africa magharibi na Kaskazini huwa wanachukuliwa na timu za Ulaya, hawaji Simba kamwe. Ukiona wamekuja Simba ujue kuwa hawana skills za kutisha.
siyo hela ya kuuza wachezaji tu Bali hata hela waliyopewa kuingia makundi na robo ,Simba imeingia makundi na robo wamepata hela ,miquison na chama wameuzwa Simba umepata hela nzuri halafu tunaletewa magarasa mengi ya bei rahisi ambayo hayawezi kureplace nafasi za hao wawili
 
Kwa moto waliokuwa nao Polisi Tanzania tangu ligi ianze, wakicheza chini ya kiwango chao halisi cha sasa, basi wataambulia sare!

Ila kusema ule ukweli, ushindi uko mikononi mwao.
 
Kwa moto waliokuwa nao Polisi Tanzania tangu ligi ianze, wakicheza chini ya kiwango chao halisi cha sasa, basi wataambulia sare!

Ila kusema ule ukweli, ushindi uko mikononi mwao.
kwani walizopigwa juzi na dodoma Jiji ni polisi au prison?
 
kwani walizopigwa juzi na dodoma Jiji ni polisi au prison?
Wale ni Prisons walioko mkiani mwa msimamo wa Ligi! Polisi Tanzania wanakabana koo na Yanga kwenye nafasi ya kwanza, huku wakiongoza kwa tofauti tu ya magoli.

Yaani wameshinda mechi zote tatu za ligi walizocheza.
 
Kwa moto waliokuwa nao Polisi Tanzania tangu ligi ianze, wakicheza chini ya kiwango chao halisi cha sasa, basi wataambulia sare!

Ila kusema ule ukweli, ushindi uko mikononi mwao.
Utopolo msije kupoteana
 
Yaani kocha ameshindwa kufikia malengo aliyokubali kuyafikia yeye mwenyewe halafu unalalamika kaonewa?

Kaonesha uzembe wa hali ya juu sana. Aende na ashukuriwe kwa mema yake.
 
Back
Top Bottom