Mo ajatwit kocha aondoke ,alisema alieusika na matokeo aya hawajibike alafu zingatia ile mechi gomez hakua ktk benchi anausika vp na matokeo yale kuna watu moja kwa moja wanahusika kuanzia pale ktk bench na wachezaji na bila kupepesa macho mechi ile lawama zote za wachezaji wenyewe na ndio maana kocha ameamua kujitoa muhanga,kuna sababu ambazo nimemfanya aondoke si matokeo yale tu mojawapo ikiwemo vyeti vyake,kuondoka kwa kocha si kwa kufukuzwa tu kisa kufungwa sven aliondoka kaingiza timu ktk na bado akavunja mkataba ,na mm nakuambia amin usiamin kama angeshinikizwa kuondoka lazma angelisema ukwel ,kumbuka uchebe si ilikua kama mbona hakuficha ktu