Mungu kama upo unapaswa kuniomba msamaha

Mungu kama upo unapaswa kuniomba msamaha

Nahisi mngekuwa Mimi huenda mngefikia hatua hii.

Tunzeni maneno, Duniani hatulinganišŸ™
 
Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.

Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.

Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.

Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Tatizo unamuabudi mungu asiye sahihi shida ndo inaanzia hapo ila ungekuwa unamuabudu Mungu alie sahihi alie kuleta hapa duniani wala usingelalamika hapa kama una akili Kb huwezi kunielewa!
 
Huwezi elewa kwanini nina kesi na Mungu.

Endelea kutafakari
Huna mantiki yoyote na jambo lako unakesi na mungu kivipi?

Thibitisha kuwa mungu yupo.

Unakuwaje na kesi na kitu/ mtu asiyetambulika,hujawahi kumuona, huna ushahidi wowote tangible...ndomaana tunakwambia wewe una MENTAL ILLNESS,wahi MIREMBE.

Kama unashupaza shingo nenda mahakamani huko ndo wanatoa hukumu,watakusaidiašŸ¤
 
Mungu Mwenye uwezo wote na Nguvu zote, Mwenye upendo wote asingeruhusu mabaya yatokee kwenye dunia ambayo ameiumba.
Mabaya kutokea kwenye dunia ambayo ameiumba wakati yeye ni mwenye Upendo hii inatia ukakasi

Na kama angekuwepo kila mtu angemuona n wala kusingekuwa na hizi sintofahamu.
Hoja zako zinajenga maswali , huo ukakasi hujabainisha upo katika nini? Je,katika hizo sifa zake za upendo,uwezo na nguvu kwamba labda si kweli kwamba anazo hizo sifa? Au ukakasi upo kwenye dunia aliyoiumba kwamba labda hakuumba yeye ndio maana mabaya hutokea?

Kwanini unadhani ilipaswa kuwa ni lazima yeye kuonekana kila mtu amuone? Hizi sintofahamu ziko nje ya uwezo wake na zinamuathiri?
 
Katika utafiti nilioufanya, Nimekuja na hitimisho kuwa wanaojifanya kumuamini Mungu kwa asilimia kubwa ndio wanaongoza kwa unafiki na nahisi hata dhambi wananizidi.

Mungu anajua alichonifanyia ndio maana bado nina kesi naye.

Hamuwezi kujua nyie, Kaeni kwa kutulia alaaaahšŸ˜‰
Unatoa lawama bila ushahidi.
 
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mlikua wengi takribani milioni na kila mmoja alikua na chance ya kuja duniani,... Ila wewe ulijitia kimbelembele.

Basi ungewaachia wenzio nafasi.

Mkuu unauhakika kua haikua ridhaa yako kuja duniani... 😁😁😁Kwa taarifa yako hata mama yako ni wewe ndio uliemchagua na wala sio mzee.
 
Anayeratibu mipango ya ulimwengu ni Nani?
Sasa kama anaratibu mpango si kakupa akili na wewe zitumie akili zako kuratibu mipango yako. Mungu ameumba binadamu na akawapa utashi/akili za kuwaongoza katika maisha yao. Sasa tuzitumie akili zetu vyema.
 
Mungu ameshindwa kwenye maisha yangu
Hapana mtumish hajashindwa wala hawezi shindwa

Hajawahi acha kumjibu mtu maombi yake

Unafaa uwe imara kama mlima piga moyo konde MUNGU MWENYEZI ni MUNGU mwenye nguvu
 
Mwenye namna kumpa msaada huyu jamaa afanye. Tushuhudia nyuzi kama hizi mara kibao na baadae ikiwa serious.

Huku sisi wengine tukiendelea kumtafuta ndugu Danstan Daudi Mutajura, wengine mumpe msaada huyu jamaa.

Mungu wabariki waTanzania wameteseka saaaana.
 
Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.

Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.

Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.

Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Mungu hayupo mkuu. Ni muhusika wa kwenye hadithi ya kutungwa na watu tu.
 
Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.

Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.

Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.

Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Ndugu yangu unatafuta balaa!!!! MUNGU hadhakiwi,nakuonya kama binadamu mwenzako,"ACHA KUTAFUTA BALAA!!!",,,,,,,shauri yako!!!
 
Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.

Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.

Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.

Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Babako na mamako ndo wamekukosea kufanya matus ukatokea ww
 
Hahahaha hili hata mi lilinipata nilipokata tamaa ya maisha.

Baadaye nilitulia nikatafakari na kufikiria sana kuhusu haya maisha na nikaamua kuanza upya. Kwa kuwa una pumzi ya uhai anza upya mkuu. Format kichwa chako na mawazo yako.

Maisha yanatakiwa yaendelee.
First born wetu dada etu mkubwa AKIWA ndio kwanza kaanza utumishi SERIKALI AKIWA na 24 years

Alianza kuugua akalazwa NILIMWOMBA MUNGU NA NIKAMWAHIDI DADA ASIFE...DADA AKAFARIKI..NI KIPINDI AMBACHO..

NILI LIA MACHOZI KAMA MTOTO NIKAKEMEWA/ KATAZWA KUA WANAUME HAWALIAGI...NIKAWA NALIA KWENYE MOYO NA KISIRI SIRI KWA MUDA WA MIAKA MIWILI..NILIKUFURU NA KUMTUKANA SANA MUNGU..

ILA BAADAE NILIKUJA KUSOMA HADITHI ZA MASWAHABA WA MTUME MUHAMAD "" VIJANA SABA WA PANGONI""

HII HADITHI ILINIJENGA SANA JAPO MIMI NI MKRISTO NIKABADILI MTAZAMO KUHUSU KIFO..

MUNGU YUPO NA NAMPENDA SANAA...ILA SASA NILISHA PONA YALE MAUMIVU..
 
Back
Top Bottom