Wahi mirembe unachangamoto ya akili.
Yaani wewe badala ukawaulize wazazi wako ambao ndo wamekuzaa unakuja kutusumbua huko JF.
Nitoe wito kwa vijana kabla hamjazaa watoto, hakikisha unasababu za msingi za kumleta huyo kiumbe hapa duniani kama huna tumia CONDOM au CHOMOA.
Usije ukawa unatafuta mtoto kwa kufata mkumbo,kwakua umekuta watu katika jamii yako wakifika umri flani lazima waoe au waolewe na kupata watoto. Hakikisha wewe unasababu madhubuti ili siku ya siku mwanao atakapokuuliza uwe na majibu mujarabu.
Kama huna sababu huna hela bora usizae mnatuletea machizi humu duniani.
Hakuna laana na watoto wa leo watawauliza maswali magumu na hamtakuwa na lakuwajibu.Mambo ya kutishia kutoa laana hawa watoto hawatambui na hayana ukweli wowote.
Tafuteni hela!!!Tafuteni hela!!! ndio mfikirie kuzaa,watoto wanataka urithi wao😄😄😄😄
Elimu sio urithi ni wajibu!!!