Mungu kama upo unapaswa kuniomba msamaha

Mungu kama upo unapaswa kuniomba msamaha

Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.

Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.

Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.

Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Ona huyu!!
 
Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.

Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.

Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.

Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Amakambo mabhibhi fijho mweee
 
Sio Kila jambo mnasingizia bangi, kwa ambao hawajawai kupitia maisha magumu hawawezi kumulewa huyu mtoa mada, ipo hivyo mtu anapopitia changamoto ambazo haoni ufumbuzi, lawama zote huangukia kwa huyo kiumbe wa kusadikika (Mungu) kuwa ndie sababu ya matatizo kumbe si kweli, pia wapo wanaolaumu wazazi wao, wengine wanalaumu mifumo(serikali).

Mungu anaehadithiwa na hizo dini hausiki na maisha ya viumbe dunian, ndiomaana haleti solution la matatizo kwa wafuasi wake wanaokesha kumuomba na kumuabudu, solution ni kupambana na changamoto na sio kuomba/kutegemea miujiza ya kusadikika
Huko ni kukata tamaa ya maisha kumkufuru mungu tu,hivi wajua mungu waweza kumuomba jambo fulani lakini ye akakupa mbadala?kwa lengo tu kukuepushia hatari anayoiona mbele yako,pia wajua anaweza kukucheleweshea?,,ye ndo anapanga yote hayo,wala hapangiwi!!,,
 
MWENYEZI MUNGU akupiganie kaka

Akupe ujumbe mpya upate kuwaza kwa upya

Usimwache MUNGU bado yuko kazini anakupambania , shetani asikutishe na kukukatisha tamaa

MUNGU ni MWEMA sana na anatoa msamaha kwa kila kosa

Mrudie hujachelewa mtumish
 
Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.

Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.

Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.

Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Huna adabu kwa Mungu. Mwombe msamaha na tubia uovu wako huu. Mungu ni wa rehema atakusamehe na atakuwezesha kuanza upya.
 
Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.

Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.

Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.

Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Sahihi kabisa, hata mimi huwa ninajiuliza, kwa nini aliamua nizaliwe Afrika, kwa watu wajinga wanaoamini sana ushirikina.

Anapaswa kuniomba msamaha na mimi. Sikumwambia kuwa nataka kuzaliwa na wazazi masikini.
 
Mungu hakukuleta dunian ila wazaz. Mungu ametengeneza system wazaz walikojoleana ukatoka ww,wala si Mungu.
 
Ukiwa huna tumaini jipya la maisha utaona kila kitu ni kibaya kwako
 
Angefanyaje?
Mungu Mwenye uwezo wote na Nguvu zote, Mwenye upendo wote asingeruhusu mabaya yatokee kwenye dunia ambayo ameiumba.
Mabaya kutokea kwenye dunia ambayo ameiumba wakati yeye ni mwenye Upendo hii inatia ukakasi

Na kama angekuwepo kila mtu angemuona n wala kusingekuwa na hizi sintofahamu.
 
Hahahaha hili hata mi lilinipata nilipokata tamaa ya maisha.

Baadaye nilitulia nikatafakari na kufikiria sana kuhusu haya maisha na nikaamua kuanza upya. Kwa kuwa una pumzi ya uhai anza upya mkuu. Format kichwa chako na mawazo yako.

Maisha yanatakiwa yaendelee.
Subiri siku mtakapokutana live umtamkie huo upuuzi wako
 
Wahi mirembe unachangamoto ya akili.

Yaani wewe badala ukawaulize wazazi wako ambao ndo wamekuzaa unakuja kutusumbua huko JF.

Nitoe wito kwa vijana kabla hamjazaa watoto, hakikisha unasababu za msingi za kumleta huyo kiumbe hapa duniani kama huna tumia CONDOM au CHOMOA.

Usije ukawa unatafuta mtoto kwa kufata mkumbo,kwakua umekuta watu katika jamii yako wakifika umri flani lazima waoe au waolewe na kupata watoto. Hakikisha wewe unasababu madhubuti ili siku ya siku mwanao atakapokuuliza uwe na majibu mujarabu.

Kama huna sababu huna hela bora usizae mnatuletea machizi humu duniani.

Hakuna laana na watoto wa leo watawauliza maswali magumu na hamtakuwa na lakuwajibu.Mambo ya kutishia kutoa laana hawa watoto hawatambui na hayana ukweli wowote.

Tafuteni hela!!!Tafuteni hela!!! ndio mfikirie kuzaa,watoto wanataka urithi wao😄😄😄😄

Elimu sio urithi ni wajibu!!!
 
Umekuja duniani kwa hiari yako mwenyewe.
Mzazi wako umemchagia wewe mwenyewe.
Karaha,taabu,mateso unayopata umeyachagua wewe mwenyewe.
 
Hahahaha hili hata mi lilinipata nilipokata tamaa ya maisha.

Baadaye nilitulia nikatafakari na kufikiria sana kuhusu haya maisha na nikaamua kuanza upya. Kwa kuwa una pumzi ya uhai anza upya mkuu. Format kichwa chako na mawazo yako.

Maisha yanatakiwa yaendelee.
Mimi Kila nikiamka mafuta Namba za yoyote naona hanipi furaha zaidi ya huzuni kwa wiki lazima nifute Namba mbili minimum
 
Umekula rotten egg😬Ila maandiko yanasema usihukumu usije ukahukumiwa, kumcheka mdhambi mwenzangu ilhali na namimi Nina madhambi
 
Akuombe msamaha! serious? Basi muombe akuondoe
 
Dini zinahamisha magoli na kusema shida zako mpelekee mungu lakini kwa uhalisia shida zako peleka kwa wazazi wako ambao kupitia ubinafsi wao wakutaka sifa kutoka katika jamii walifanya maamuzi ya kukuleta humu duniani bila ya kukuandalia mazingira mazuri ya wewe kuyafaidi maisha.

Vijana chondechondd fanyeni tafakuri kila mnapotaka kufanya NGONO.Mtasaidia sana kufanya maamuzi sahihi JUU YA STAREHE HIYO na kuchukua hatua stahiki.
 
Kindly unawezaje kuaza upya? Yaani Ile umepoteza kila kitu umebaki na uhai tu
Huo uhai na akili yako ni mtaji tosha wa kuanza upya, ila ni pale utakapokubali kuwa sasa hauna chochote na uko tayari kuanzia chini..
 
Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.

Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.

Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.

Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.

blasphemy!!!
 
Back
Top Bottom