Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Hatuwezi kulazimishana kuhusu haya mambo ya imani n ahata siamini kama yanatakiwa kuwa hivyo ila kwa sasa naomba utafute msaada wa kiafya. Waone madaktri au mshirikishe mtu unayemuamini jambo lako.
Nakutakia siku njema.
Nakutakia siku njema.