Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ina make sense vilePia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu baba msamehe bure mtu huyu halijui alitendaloHabari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Hii tunaita reasoning mtuMzee!
Mungu hadhihakiwi, hilo balaa unalotafuta naomba likupitie mbali .
Umechanganyikiwa mkuu. Mungu alihusikaje kwenye mechi ile unatafutwa. Acha kumtukana Mungu na ukiona unaanza kumtukana Mungu jua unaanza kuchanganyikiwaHabari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Sio Kila jambo mnasingizia bangi, kwa ambao hawajawai kupitia maisha magumu hawawezi kumulewa huyu mtoa mada, ipo hivyo mtu anapopitia changamoto ambazo haoni ufumbuzi, lawama zote huangukia kwa huyo kiumbe wa kusadikika (Mungu) kuwa ndie sababu ya matatizo kumbe si kweli, pia wapo wanaolaumu wazazi wao, wengine wanalaumu mifumo(serikali).Bangi mbaya, mwambie Baba yako angevaa condom angeisadia dunia kutoleta kituko duniani kama wewe.
Hapa ndo umuhimu wa kuvaa condom unapoonekana au kupiga bao nje. Kuja jamaa mmoja namshauri kila siku avae ndom maana naye alivyo akizaa atatoa mtoto ambaye ni kilaza kama huyuHabari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Kwa hiyo umewaacha wazazi wako waliozamuana huko ukaona ukomae na Mungu?Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Hivi ukiwa na mental health issues unajigunduaje? Kuna vitu nikiona najistukia usikute na mimi nafanya the same ila sijijui! Au basi!
Acha bangi kijana! au kama unataka sifa mtandaoni sawa ila l kama umeongea haya kutoka moyoni naomba utafute msaada Kwa sycologistHabari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Wewe unavyomchinja kuku au ng'ombe na kuumla kwani kakukosea nini? We kwa Mungu si kama kuku au ng'ombe tu, we ulivyokuwa na mamlaka kwa wanyama ndio hivyo hivyo Mungu atakuwa Mungu kwako.Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
Angefanyaje?Uwepo wa Mungu haiwezekani.
Kama Mungu angekuwepo basi kusingekuwa na hizi sintofahamu zote juu yake