GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Sapu [emoji777]
Sup [emoji818]
Hapo haujaandika kwa kiswahili ila umeandika tamshi la kiingereza kwa kiswahili.Najua kuwa ni ' Sup ' ila nimendika kwa Kiswahili ' Sapu ' ili ' kunogesha ' tu mtiririko wa content.
Simba na yanga mpira wao niwakwenye magazeti...(dimba champion na mwanasport) .wakiyafungia hayo magazeti simba na yanga zinashuka darajaMungu mkubwa sana na sana na inabidi ashukuriwe kwa Klabu za Simba na Yanga kutokupata nafasi ya kucheza dhidi ya Klabu ya Everton ya nchini Uingereza kwani nina uhakika wa 100% na tunavyojijua wenyewe ' Waswahili ' Timu moja wapo ingecheza basi akina Rooney, Scheiderlin na Lennon wangeokota sana ' Hirizi ' pale Nationa Stadium.
Shukran sana Kwako Mwenyezi Mungu kwa ' kutuepushia ' Watanzania hii ' aibu ' ambayo ingejitokeza kisha ' Waingereza ' wote wakatuona sisi ni wa ' hovyo hovyo ' original.
Una akili sana kama Prof SafariHapo haujaandika kwa kiswahili ila umeandika tamshi la kiingereza kwa kiswahili.
NB:Namna hivyo ndivyo tunavyovuruga kiswahili fasaha
Mwalimu wa bila malipo...mnakeraaaaaaa we wenzako...kazi kutafuta tu michapioSapu [emoji777]
Sup [emoji818]
Katika kiswahili neno hua haliishii na konsonati ni lazima irabu iwepo ili litamkike kwa uswahili wetu.Hapo haujaandika kwa kiswahili ila umeandika tamshi la kiingereza kwa kiswahili.
NB:Namna hivyo ndivyo tunavyovuruga kiswahili fasaha
Unahisi hajui??Sapu [emoji777]
Sup [emoji818]